Tangu nimemfahamu Makonda kama mkuu wa wilaya na baadaye kuteuliwa kama mkuu wa mkoa wa Dar, nimekuwa nikiona namna anavyopambana kutatua kero za wananchi. Wakati mwingine kuziongelea tu hata kama hana uwezo wa kuzitatua.
Vilevile makonda ni mbunifu sana kitu ambacho kinamfanya watu wengine wamuone kama anajijenga yeye badala ya chama. Maneno ya uchochezi.
Wananchi walikosa mtu wa kuwasikiliza kero zao; Mungu kamleta Makonda tena. Hakikisha kero zinamfikia Rais wetu mpendwa ambaye pia amejaliwa kuwa na usikivu na bahati nzuri ana final say.
Binafsi namuombea afike pale ambapo Mungu amempangia!
Hayo ni yangu ya moyoni kabisa.
Vilevile makonda ni mbunifu sana kitu ambacho kinamfanya watu wengine wamuone kama anajijenga yeye badala ya chama. Maneno ya uchochezi.
Wananchi walikosa mtu wa kuwasikiliza kero zao; Mungu kamleta Makonda tena. Hakikisha kero zinamfikia Rais wetu mpendwa ambaye pia amejaliwa kuwa na usikivu na bahati nzuri ana final say.
Binafsi namuombea afike pale ambapo Mungu amempangia!
Hayo ni yangu ya moyoni kabisa.