Mwambieni Dkt. Nchimbi, aache kupambana na Makonda, Nyota ya Makonda imeinuliwa na Mungu ili kuwatetea wanyonge kama alivyokuwa Hayati Magufuli

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
24,041
71,287
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
 
Dah. Mkuu unaandikaga mashudu yaani.

Unatawaliwa sana na ukabila, ukanda na eventually uduanzi

1. Makonda ni mjamaa? Unahakika?

2. Nchimbi hajulikani na hana impact, angerudishwa toka Cairo aje achukue hiyo nafasi na kuacha mamilioni ya wana ccm waliyoitarajia?
 
Watanzania wengi kama mtoa mada mnapenda sana hadithi tamu kuliko ukweli mchungu.

Makonda is a lowbrow light weight wannabee actor who is trying to follow in the footsteps of his dead country bumpkin Godfather Magufuli.

Nchimbi started with the right tone, ila sijui kama Watanzania wengi watamuelewa.
 
Watanzania wengi kama mtoa mada mnapenda sana hadithi tamu kuliko ukweli mchungu.

Makonda is a lowbrow light weight wannabee actor who is trying to follow in the footsteps of his dead country bumpkin Godfather Magufuli.

Nchimbi started with the right tone, ila sijui kama Watanzania wengi watamuelewa.
Makonda is a good sacrificial soldier, never a leader. Na ndo maana magufuli hata hakumtetea alipofail 2020 kugombea ubunge, he's a liutenant, mtu wa ku-run errands tu. Na kazi ya ukuu wa mkoa/wilaya ndo inamfaa sababu hata nyerere alikuaga anawapa hizo nafasi major generals wastaafu.

Ndo maana JK alimtumia, JPM akamtumia, na samia anamtumia.

Huhitaji degree kuona hilo, na hauko sahihi kumkashifu hivo JPM, ni kiongozi ambae TZ ilikua inamuhitaji. Na tatizo lako wewe kiranga ni kwamba huwa haujui tatizo lako ni nini. Hebu uwe unasoma arguments zako utaona, kwa nn unawachukia sana 'high achieving individuals'? Kuna mahala niliona hata unamponda Elon Musk.
 
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
zile TAKOZI zake sasa daah
 
Dah. Mkuu unaandikaga mashudu yaani.

Unatawaliwa sana na ukabila, ukanda na eventually uduanzi

1. Makonda ni mjamaa? Unahakika?

2. Nchimbi hajulikani na hana impact, angerudishwa toka Cairo aje achukue hiyo nafasi na kuacha mamilioni ya wana ccm waliyoitarajia?

Nchimbi Hana impact yoyote, umaarufu wake aliupata zaidi kupitia ukaribu wake na E.Lowassa , Athari ya Nchimbi ipo Ndani ya kakundi ka watu wachache.

Mtaani HAJULIKANI huyo !!.

Suala la kurudishwa kwake CCM kutoka alipokuwa bado sio sababu ya kutosha Kumfanya afae, ukweli ni kwamba, wapo watu waloifaa nafasi hiyo hapa hapa Nchini .
 
Nchimbi Hana impact yoyote, umaarufu wake aliupata zaidi kupitia ukaribu wake na E.Lowassa , Athari ya Nchimbi ipo Ndani ya kakundi ka watu wachache.

Mtaani HAJULIKANI huyo !!.

Suala la kurudishwa kwake CCM kutoka alipokuwa bado sio sababu ya kutosha Kumfanya afae, ukweli ni kwamba, wapo watu waloifaa nafasi hiyo hapa hapa Nchini .
Kwa sasa Nchimbi ndie afaaye. ..
 
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
Naunga mkono hoja,huyu KM badala ya kushughulika na mambo ya chama yeye anashighulika na kukubaliwa Kwa Makonda.

Mpaka hampo badala ya Kumsaidia Rais anakuwa anasaidia makundi ya wasaka Urais ambao wanamuona Makonda ni threats kwao.
 
Makonda is a good sacrificial soldier, never a leader. Na ndo maana magufuli hata hakumtetea alipofail 2020 kugombea ubunge, he's a liutenant, mtu wa ku-run errands tu. Na kazi ya ukuu wa mkoa/wilaya ndo inamfaa sababu hata nyerere alikuaga anawapa hizo nafasi major generals wastaafu.

Ndo maana JK alimtumia, JPM akamtumia, na samia anamtumia.

Huhitaji degree kuona hilo, na hauko sahihi kumkashifu hivo JPM, ni kiongozi ambae TZ ilikua inamuhitaji. Na tatizo lako wewe kiranga ni kwamba huwa haujui tatizo lako ni nini. Hebu uwe unasoma arguments zako utaona, kwa nn unawachukia sana 'high achieving individuals'? Kuna mahala niliona hata unamponda Elon Musk.
Unajuaje nachukia high achieving individual, na sifanyi a reasoned criticism?

Kwani mtu aki achieve makubwa maana yake yuko beyond criticism?

If Elon Musk is an asshole, a high achieving one, but an asshole nevertheless, nisiseme kwamba Elon Musk is an asshole?

Tatizo lako wewe ni kwamba, you worship achievement. You worship achievement so much kiasi cha kwamba unataka kufanya mtu yeyote anaye achieve awe beyond criticism.

This is a dangerous reductivism, a very shallow way at looking at things.

Na mtu yeyote akimfanyia critique anyone aliye achieve, hata kama ni kwa sababu za kifalsafa tu, kama ninavyofanya mimi, wewe unatafsiri kwamba hiyo critique ni kwa sababu ya chuki. Unajauje ni chuki?

Unanikumbusha wale wanawake ambao ukimsema vibaya Rais Samia tu, wanakusema kwamba unamsema vibaya kwa sababu ni mwanamke, wamejuaje umemsema vibaya kwa sababu ni mwanamke na hujamsema vibaya kwa sababu ni kiongozi mbaya?

Wewe una worship achievement, wakati kuna achievement nyingine zimepatikana kwa chance tu.

Actually, Magufuli is not a high achiever.

Magufuli kaogopa hata kwenda kwenye mikutano ya UN. Rais anaogopa mikutano ya UN kwenda kubishana na viongozi wenzake wa dunia kupeleka ajenda yetu mbele kimataifa utamuitaje high achiever?

Ruto amefanya mengi ku advance Africa's case against the US dolkar and US hegemony kuliko Magufuli. Mtu akiniambia Ruto na Magufuli nani ni high achiever, hata kwenye ku set agenda tu, Ruto atakuwa kampita Magufuki mbali sana.

Ruto anaongelea paradigm shift ya Afrika kuacha US dollar katika intra-African trade, ku settle payments Addis Ababa badala ya US Federal Reserve New York Branch.

That is some high achieving agenda.

Magufuki kaongea kuwapandishia kodi Barrick watu wakapiga hesabu za vi Noah, mpaka leo tumepigwa changa la macho.

That is some common garden variety African politics bullshit.

Magufuli hakufanikiwa lolote la msingi katika kujenga uchumi endelevu Tanzania. Kasoma mpaka Ph.D lakini amebaki kuwa mjingamjinga tu anayekunywa maji ya kikombe cha babu na kukataa sayansi ya chanjo, sasa huyo high achiever wa nini? Ujinga?

Acheni kuabudu mafanikio tu, hata wauza madawa ya kulevya wanaweza kukuambia wana mafanikio. Hata wacheza kamari wanapata mafanikio.

Je, mnaangalia principles? Mnaangalia ethics? Mnaangalia mafanikio yamepatikanaje? Mnaangalia utu wa watu? Mnaangalia ukweli kwamba hata wasio na mafanikio nao wana utu wao na wanastahiki heshima ya utu, ikiwapo na heshima ya kukosoa waliofanikiwa? Mnaangalia ukweli kwamba waliofanikiwa hawajui kila kitu, na wengine wamefanikiwa kwa bahati ya kuzaliwa mahali fulani, mwaka fulani, kwa wazazi fulani?

Who is a high achiever? Why?

You need to re-xamine your definition so you do not use a rather shallow one.

Mimi namkosoa mpaka Mungu Mkuu, angalau hiyobdhana ya kuwapo Mungu, maana siamini yupo. Kifaksafa.

Sasa kwa nini nikiwakosoa Elon Musk na Magufuli, kifalsafa, unaona nakosoa kwa sababu ya chuki?

That is a very lazy way of settling a rather intricate philosophical debate.
 
Kon
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
Konda ni tapeli wa kisiasa na jambazi
 
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
Hatuhitaji kuwagombanisha Nchimbi na Makonda, bali kuwaunganisha kwa mambo chanya kwa faida ya wananchi, chama na taifa kwa ujumla.
Checks and balances ni muhimu.
 
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
Imeinuliwa wapi? Ndivyo mnavyo wadanganya maiti?
 
Pengine Inawezekana mkawa mnalifaham ila mnalipuuzia .

Pengine Mungu kaamua kuendelea kuwapa ugumu wa Moyo na kufabaza akili zenu ili mshangazwe !!.

Paul Christian Makonda, Uthubutu alonao ni zaidi ya Hayati John Pombe Magufuli, na Hawa ndio aina ya watu ambao wanaweza kulivusha Taifa hili, viongozi wakweli, wawazi, wenye uthubutu, wanaowajibika, wenye huruma, wenye kusema kitu wanachomaanisha, watu wenye Akili , Hekima na Busara, Wazalendo na Wafia Nchi.

Miaka yote, Tanzania ilikosa viongozi wa aina hiii, kuinuka Kwa JPM nankuonyesha Uthubutu ambao umewafanya watanzania kuamini Tunaweza, ilikua ni Njia ilofunguliwa Rasimi na hivo Nchi kama Nchi hairudi nyuma.

Ndioo, Dunia ya Sasa Kila Kiongozi anapambania Nchi yake kwanza, na Wananchi wake ,haya ndio mabadiliko makubwa ambayo Dunia inapitia.

Dr Nchimbi kua mwenye msimamo, hakukumfanya Hayati Magufuli asiwe Rais, nadhani hili ni jambo ambalo anatakiwa kuliweka Kichwani kwanza kabla hajafunua Kinywa chake.

Kwakua Kila Kiongozi ana Falsafa zake za kiuongozi, DR NCHIMBI mwenye mlengo wa kipebari, yeye afanye ubepari wake, Mh Paul Makonda mwenye mlengo wa UJAMAA, aachwe afanye UJAMAA wake yote Kwa yote Ilani ya CCM itekelezwe !!.

Dr Nchimbi atambue kua , Hana athari yoyote kisiasa, Wala nyuma yake Hana watu, infact HAKUBALIKI NA WALA HAJULIKANI labda kakikundi kake kadogo ambako Sasa kanajiona ndo kanakomiliki Nchi kiganjani mwake.

MH PAUL MAKONDA, PIGA KAZI, KEMEA WATUMISHI WAVIVU, WAZEMBE, MAJAMBAZI, MAFISADI, NA WOOOTE WANAOTURUDISHA NYUMA, WASIPOKUELEWA SASA, WATAKUELEWA BAADAE.
Nzuri bro
 
Back
Top Bottom