Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
,
Katika Kipindi cha Mboni Show Siku ya leo Topic ilikuwa ni kuhusu Wanaume Kujichumbua kwa kutumia Mkorogo, katika kipindi hicho Nyoshi El Sadaat Alikuwa ni mgeni mmoja wapo na Alipoulizwa kama anatumia Mkorogo Akakubali na Kusema alianza kutumia kutoka mdogo akiwa na umri wa miaka sita ...lakini Alienda mbali zaidi kwa kutoa ushauri kuwa kama bado hujaanza kujichua wasijisubue kwasababu kuna madhara yake wao wanajichua kwasababu ni Wasanii
pia amesema mtu anaojichubua anaonekana mzuri zaidi,na wasichana wengi wanapenda mwanaume mweupe kwa sababu ana mvuto zaidi kuliko mwanaume mweusi.
na amesema yeye anatumia mkorogo halisi aliotengeneza mzungu na anasema hauna madhara,wanaopata madhara ni wale wanaochanganya vitu vingi kama jik,acid,na vitu vingine zaidi
amsema uwa anasifiwa sana na watu eti mzuri anang'aa sababu ya weupe wake.
lakin kwa utafiti wangu mimi money stunna nimegundua ni kweli wanawake wengi upenda mwanaume mweupe pengine sababu ni ulimbuken au ndio chaguo la mtu,na alisema watanzania zaidi ya asilimia 60 wanatumia mkorogo caro light,je kwa nin watu wanajichubua ukitolea mfano mwingine wa wasanii kama Ray ukiona maagizo ya kaole kipind kile alikuwa mweusi tii,sasa hiv anang'aa je weupe ni habari ya mjini?