Nimekimbia nilipomuna xxxxx two metre black cobra,una wasiwasi na uanaume wangu? Wazo langu la kwanza baada ya kufunga mlango lilikuwa". Kesho asubuhi nitaenda. Dar es salaam" . Okay,.
Unazidi kunipoteza.
Nimekimbia nilipomuna xxxxx two metre black cobra,una wasiwasi na uanaume wangu? Wazo langu la kwanza baada ya kufunga mlango lilikuwa". Kesho asubuhi nitaenda. Dar es salaam" . Okay,.
The snake is kutakaring kumng'ata so pulizii muhelp
haya mbe
Nitamwambia...
We. Papa. Wemba nilisikia you were in trouble with the law or something. Well,yule nyoka kwa vile obviously alikuwa anataka kuingia ndani ya nyumba,. I just stepped back into the house and shut the door with quite a bang. Huyu nyoka alikuwa yuko karibu sana,mita moja u nusu hivi, na alikuwa very calm,kama vile mimi sio tishio. Baada ya hapo nikamfuata mlinzi,polisi nikamwambia,njoo hapa kuna nyoka anataka kunishambulia,bora uje na bunduki. Akaniambia hana bunduki.
1.Black
2.As thick as the man's arm
3.Two metres long
Someone took me to task,a language purist,anauliza unajuaje nyoka ni he au she. Wewe ungemwita tu,it. Sawa. Hiyo ndiyo maana. Buddhists wanasema lazima tufikie nirvana so that the emotions do not interfere with the work of the mind. In this case,nimechachatika nimesahau sheria za sarufi.
Nitamwambia...
Angalia EndrewSasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.
nyoka.....he was....he did not.....he.......and this thread he is not...............puuuuuuhhh
mara zote huwa nakuwa wa mwisho kukuelewa....lets me wait and see,
Mbona umenitenga sana ni nini mbaya?
Mkuu sorry kwa tukio hili, ila nahisi leo hapo Butiama ama kuna mawingu, au mwezi mpevu!. Hili bandiko lako halijatulia kabisa tangu mwanzo!, hivyo naiona dalili ya ile hali yako ya zamani ulipokuwa Msasani, imekurudia!. Huwezi ku disclose sensitive security detailed information kwenye public domain!. Huyo askari wa hapo kwenu should have known you better, hakupaswa kukuambia hana bunduki, bali alipaswa kukuambia anaifuata, kwa sababu the way I see it, usikute hata huyo nyoka hakuwepo wala hakukuwa na nyoka yoyote!, bali ulikutwa na hali inayoitwa "highest state of mind suggestibility!", utaona chochote tena ungeweza hata kupiga kelele, kumbe hicho unachokiona is non existance bali kiko only on your mind!.Well,yule nyoka kwa vile obviously alikuwa anataka kuingia ndani ya nyumba,. I just stepped back into the house and shut the door with quite a bang. Huyu nyoka alikuwa yuko karibu sana,mita moja u nusu hivi, na alikuwa very calm,kama vile mimi sio tishio. Baada ya hapo nikamfuata mlinzi,polisi nikamwambia,njoo hapa kuna nyoka anataka kunishambulia,bora uje na bunduki. Akaniambia hana bunduki.