KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Ulimbukeni ndio malazi pekee yanayoliangamisha bara la afrika katika nyakati hizi ukiachana ukiritimba wa mataifa ya magharibi......kila mtu anaona kinyaa kujipambanua kwa lugha yake.....anaona ni fahari kutumia lugha ya mkoloni hata mahali pasipo na ulazima wa kufanya hizo....kibaya zaidi hata hicho kikoloni chenyewe hawakimudu.....mwishowe wanaishia kuchanganya lugha utadhani ni mseto wa makande..............UTUMWA WA FIKRA NI KITU KIBAYA SANA............