Nyoka atishia maisha yangu Butiama

Nyoka atishia maisha yangu Butiama

Mkuu sexologist hebu nisaidie maana nadhani kuna ujumbe sema huyu jamaa lugha zake huwa simuelewi...
huyo nyoka ni msaka urais wa CCM aitwa Membe,anapigiwa debe na familia ya mkulu sasa anasaka kuungwa mkono na familia ya baba wa taifa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sorry kwa tukio hili, ila nahisi leo hapo Butiama ama kuna mawingu, au mwezi mpevu!. Hili bandiko lako halijatulia kabisa tangu mwanzo!, hivyo naiona dalili ya ile hali yako ya zamani ulipokuwa Msasani, imekurudia!. Huwezi ku disclose sensitive security detailed information kwenye public domain!. Huyo askari wa hapo kwenu should have known you better, hakupaswa kukuambia hana bunduki, bali alipaswa kukuambia anaifuata, kwa sababu the way I see it, usikute hata huyo nyoka hakuwepo wala hakukuwa na nyoka yoyote!, bali ulikutwa na hali inayoitwa "highest state of mind suggestibility!", utaona chochote tena ungeweza hata kupiga kelele, kumbe hicho unachokiona is non existance bali kiko only on your mind!.

Mode: Jina la Andrew Nyerere ni very famous, hivyo nyinyi kama modes wa jf mlipaswa kuwa na profiles za haws famous people na kujua ni watu wa state ya aina gani, ili siku ya siku, wakipandisha kitu ambacho hakijakaa sawa, it is you duty to help them by protecting them, na kukihifadhi hicho kilichopandishwa for his own good and for jf good!.

Kipimo rahisi cha kuijua state ya mwandishi ni kujiuliza tuu, "what is the motive behind!".

Pasco
Andrew Nyerere is so pure, honest and has a very clear mind and clean heart in terms of perception, Its only people like you who have a diminished perception and crooked mind who may see otherwise and may never understand him.

Andrew is explaining from his heart what he saw and how terribly close it was.

Encountering a two meter snake coming your way in a very short distance is not a joke.
 
Kafara akija dar atakuta joka limeshameza mji mzima awahi Dodoma tu. BTW huyu jamaa anapenda mumfikirie kama tunavyomfikiria lakn hayupo hivyo muda wote.
 
Last edited by a moderator:
Yule polisi labda alikuwa anafikiri kama wewe kwamba kuna mwezi mpevu,kwa nini huyu jamaa anasema nije na bunduki. Lakini wewe labda unatumia. L. S. D kwa sababu unasema hakuwepo nyoka,kwamba. I was just suffering from hpersuggestibility.

Huyo Pasco inawezekana kabisa usemalo, ana influence ya illegal substances. LSD could easily be one of them.
 
Last edited by a moderator:
Mnachoita uchawi kwao ni maisha yao.....mgeni kafikisha ujumbe.Dar ni lazima kuja...
 
Sasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.
Yaani mimi nimefungua mlango nataka kutoka . Pale nje alikuwepo nyoka anakuja anaelekea kwenye mlango. Mimi nakwenda kuufungua mlango,sina habari ,huko nje yupo nyoka mkubwa anaelekea kwenye mlango. Nyoka ananiona mimi nimesimama pale,lakini bado anaendelea kuja.. Basi nimeufunga mlango nimerudi ndani. Maana yake ningefika kwenye nukta tano baadaye,mimi na yule nyoka tungefika kwenye mlango kwa pamoja,kwa hiyo ningefungua mlango na nyoka angekuwa miguuni kwangu.
Yule polisi labda alikuwa anafikiri kama wewe kwamba kuna mwezi mpevu,kwa nini huyu jamaa anasema nije na bunduki. Lakini wewe labda unatumia. L. S. D kwa sababu unasema hakuwepo nyoka,kwamba. I was just suffering from hpersuggestibility.
Mkuu kiukweli, ulikuwa katika 'ile hali' tuu!. Tanzania tuna nyoka weusi wengi ila sio wa urefu huo, 2 meters long!. Nyoka wa urfu huo ni Chatu na sio weusi!. Nyoka weusi wa urefu huo ni Black Cobra na Black Mamba!, Black Cobra hapatikani Africa yuko misitu ya Amazon. Balck Mamba, natural habitat yake sio hapo Musoma!. Mimi hapo kwenu butiama nimefika, nyoka mwuusi wa maeneo hayo ni Swila, ila hana urefu huo wala unene huo, ndio maana nikakuambia it was just your state of mind!, you saw an imaginary snake!.
Hebu waangalie hawa, kuna yoyote kati yao?.


































 
Sasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.

Huu ni ujumbe ulioletewa na mababu zetu kwa hapa atakuwa Mwalimu, inaonekana umekaribisha katika makazi yeke mtu asiyetakiwa, siku nyingine akija jitakase kwa kubugia fundo la maziwa (masunga) halafu mpulizie na kumwaga mtama mwekundu huku ukitubu zambi zako (kufuha) akiridhika ataondoka taratibu, utakuwa umesamehewa.
 
Andrew Nyerere is so pure, honest and has a very clear mind and clean heart in terms of perception, Its only people like you who have a diminished perception and crooked mind who may see otherwise and may never understand him.

Andrew is explaining from his heart what he saw and how terribly close it was.

Encountering a two meter snake coming your way in a very short distance is not a joke.
FaizaFoxy, kama nilivyokuambia siku ile, yule aliyekuambia ameniingiza mjini alikudanganya, mimi nimezaliwa mjini, nimesoma mjini na kufanya kazi mjini. Nimekulia Msasani hivyo hapo kwa Mwalimu ili ni playing ground yetu hivyo Andrew Nyerere namfahamu fika!. Naomba niishie hapa, ila huyo nyoka was either 'an imaginary one' or alikuwa ni nyoka tuu na joka!. Joka jeusi la urefu wa meta mbili na unene kama kono la mtu mzima is not a joke!.
Pasco
 
FaizaFoxy, kama nilivyokuambia siku ile, yule aliyekuambia ameniingiza mjini alikudanganya, mimi nimezaliwa mjini, nimesoma mjini na kufanya kazi mjini. Nimekulia Msasani hivyo hapo kwa Mwalimu ili ni playing ground yetu hivyo Andrew Nyerere namfahamu fika!. Naomba niishie hapa, ila huyo nyoka was either 'an imaginary one' or alikuwa ni nyoka tuu na joka!. Joka jeusi la urefu wa meta mbili na unene kama kono la mtu mzima is not a joke!.
Pasco

Wewe mjuwe umjuavyo lakini ukweli kakueleza. Dogo hilo?
 
Kafara akija dar atakuta joka limeshameza mji mzima awahi Dodoma tu. BTW huyu jamaa anapenda mumfikirie kama tunavyomfikiria lakn hayupo hivyo muda wote.

si umesikia kinasubiriwa kipyenga? watu wamekwisha jipanga na nadhani muziki wao si cha mtoto.
 
Pasco umesikia kipyenga kinasubiriwa. huyu bwana yuko makini na amewaadharisha wale waliofika kuomba baraka pale kijijini kwamba na wao wanaanza safari. mwenye masikio asikie
 
Last edited by a moderator:
Postscript;
Baada ya kutazama posting chache Facebook za chatu amem-meza mtu,nadhani yule nyoka niliyekuwa nadhani oversized cobra,alikuwa actually ni chatu amekuja kunimeza.
Na huyu chatu nadhani anafugwa pale But I am a,kwa sababu chatu hawezi kujificha. Akimeza mnyama anabaki palepale.
Na wale gardeners walikuwa wamesahau kukata majani. Nilikuwa nayatazama yale majani nafikiria,"Tazama yale majani. Hats chatu anaweza kufika hapa.
Nilikuwa ndani nyumba natoka nje. Nilipofungua mlango nikamkuta chatu yuko nje anataka kuingia ndani. It all adds up. Chatu amesikia tap tap ya miguu yangu wakati natoka nje,halafu ameelekea mlangoni kwa kujua kwamba atatoka MTU sasa hivi.
 
Huu ni ujumbe ulioletewa na mababu zetu kwa hapa atakuwa Mwalimu, inaonekana umekaribisha katika anasema eke mtu asiyetakiwa, siku nyingine akija jitakase kwa kubugia fundo la maziwa (masunga) halafu mpulizie na kumwaga mtama mwekundu huku ukitubu zambi zako (kufuha) akiridhika ataondoka taratibu, utakuwa umesamehewa.
Hizi picha ulizitoa siku ile lakini nilikuwa bado sijaziona. Ukiposema nimemuona imaginary snake niliuliza watu kama wamemuona. Jirani yangu akasema hajawahi kumuona. Halafu watoto wa Muhunda nikawauliza kama wamemuona nyoka mweusi mkubwa. Wakasema wanamfahamu huyo nyoka, kwamba hiyo nyoka ni " rangi ya tairi" yaani grey.
Yule alikuwa giant snake. Hiyo swila unayemsema sijui nyoka gani. Kama una maana kifutu, hiyo hata mimi nimemuona Butiama
Nimeona Facebook chatu Mwanza au someplace kammeza mtoto wa shule aliyebakia darasani peke yake. Bulge yake ndogo tu kama vile kammeza sungura.
Last week tena katika Facebook tena mtoto aliyebakia peke yake darasani,Nigeria,mtoto kamezwa na .chatu.
Chatu mdogo tu lakini anavyoanza kumeza ni miujiza.
 
Back
Top Bottom