Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,095
kifimbo cha nyerere kipo wapi? might be
Sasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.
Wewe ni kitukuu wa mkubwa wa taifa hili?
Pamoja na kuishi na kusoma England,bado tu kiingereza ni tatizo kubwa sana,you were supposed to say,it was...and not he was...unaposema he was ulijuaje kama yule nyoka ni dume? mkuu rudi tena kwa Cameron.
Kaka Andrew wachache sana watakuelewa kwani fasihi uliotumia hapa makanjanja na slow learners wangempata Prof Mwaikyusa (RIP) angewasaidia. Mimi nimekuelewa kuwa huko ulipo hamna ulinzi tena na mtu yeyote anaweza kuingia na kufanya uhalifu kwani ata walinzi hawana zana za kiulinzi. PUMZIKA KWA AMANI JKN.
Ni mtoto wake....
Bora wewe useme mie nimewaambia huko pia...kizazi cha madesa hiki ubongo flava mwingii hata kwenye mambo ya maana..ndio maana hili li nchi kila mtu anataka kuongoza maana wananchi ndio hawa "they don't think between the lines"...wanapenda vitu rahisi rahisi tuu.Ni great thinkers kama alivo andrew nyerere mwenyewe ndio wanaoweza elewa andrew kamaanisha nini,wengine hapa wameshapotezwa maboya na hawajijui km wamepotezwa wanajifanya kumsahihisha mara english mara nyoka hana jinsia, think big, jf ya leo imevamiwaaaaaa na slow learners ambao hawasikilizi na kusoma kwa makini bali wanakurupuka kujibu wasichokijua.
Sasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.
why are you using 'he' instead of 'it'.
Kitu kama hicho nadhaniby the way au unataka tumia lugha ya picha?
Bora wewe useme mie nimewaambia huko pia...kizazi cha madesa hiki ubongo flava mwingii hata kwenye mambo ya maana..ndio maana hili li nchi kila mtu anataka kuongoza maana wananchi ndio hawa "they don't think between the lines"...wanapenda vitu rahisi rahisi tuu.
Sasa hivi as I was about to go out for a walk nilimuona nyoka anakuja anataka kuingia ndani ya nyumba. He did not seem to notice that I was standing there at the door. And now I will describe that snake. 1. He was black 2. He was as thick as my arm or as thick as a man's arm 3. He was two metres long.
Tufafanulieni basi ,wengine akili zetu kb1,ngoja nilewe kwanza labda naweza kugundua mleta mada amelenga nini.Waambie mkuu, madesa yana gharama sana na tusipoangalia Taifa litazidi kuangamia maana Maarifa yanapotea sana. Andrew Nyerere ka twist kidogo vijana wamepoteana kabisa. Nadhani kwa uzi huu ni vema sasa akina Invisible wakaona umuhimu wa kufungua Jukwaa la Fasihi tu. Kudos sanaaaa