Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

Ule wimbo wenyewe Kibinda nkoi hatuwezi kuupata wakuu? Nautafuta sana
 
Natafuta nyimbo za Mchinga Sound unaitwa Kaisi na enzi za Diamond Sound kuna band iliimba wimbo wa Hadija (jina la hiyo band siikumbuki)
Bendi ilikuwa inaitwa FM International mmiliki akiwa ni Mr Felician Mutta. Baadaye ndio ikaitwa FM Bando Wajela jela original then FM Academia. Zote hizo Nyoshi alikuwepo.
 
Mkuu wimbo wa Hadija ulipigwa na bendi ya FM Musica International na ulitoka mwaka 1998 ukiwa ni utunzi wa Nyoshi William "El Saadat"Kupata original version ya wimbo huu ni ngumu sana ila live performances zipo
Watu wanazo. Ila production6a wakati ule haikuwa nzuri sana kama sasa.
 
Hawa watu walikuwa sio mchezo..alan mulumba..elystone..roger muzungu...ibonga jesus..liva hasan..frank alitalia katasinga..adolph mbinga..sekedia..mangustino richard..viuno vya kina kamuke sukari...silent inn ilikuwa haitoshi..ila wadau kuna nyimbo yao moja naitafuta sana..sijawah ipata..mwenye nayo please anitag..inaitwa Valentine day.
 
Hawa watu walikuwa sio mchezo..alan mulumba..elystone..roger muzungu...ibonga jesus..liva hasan..frank alitalia katasinga..adolph mbinga..sekedia..mangustino richard..viuno vya kina kamuke sukari...silent inn ilikuwa haitoshi..ila wadau kuna nyimbo yao moja naitafuta sana..sijawah ipata..mwenye nayo please anitag..inaitwa Valentine day.
Nenda ukurasa wa pili wa uzi huu, kuna mdau ameshautuma.
 
Nashangaa na maneno yakooo,
Umekua Kigeu geu, aaaa Neema,
Ninavyopendana na Wewe, Ulinitamkia Mwenyewe Nakupenda japo Huna kitu,
Unaponitangaaziaaaa, eti mimi sina kitu, nasikitika Neema,

Chini tumelaaa, Njaa tumeshindaaa ooooooooo
 
Back
Top Bottom