Lofawamali
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 304
- 146
Kuna group lipo na baadhi ya hizo nyimbo hapo juu utapata, ukweli hizo nyimbo inavyoonyesha hazipatikani hovyo mtaani 7b nlienda Kariakoo hakuna. Nimejaribu kwenda TBC pale nikaishia kupewa ahadi hewa kwani niliambiwa zipo ila zipo kwenye zile tape za zamani. Kwa hiyo niache flash then zikiwa tayari atanijulisha ila mpaka wa leo hakuna. Nikajarib kuwasiliana na MKITO.COM wenyewe wakaniambia hawana hizo nyimbo. Ila nichek WhatsApp nikuunge chap upate zilizopo.
kiongoz yang ni 0785 022284 fanya hvyo