Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

dj mix

New Member
Joined
Sep 17, 2014
Posts
4
Reaction score
2
Wadau habari za leo, naomba mwenye link au nyimbo za band ya Diamond Sound ' wana ikibinda nkoi' anisaidie either kwa kunitumia whatsapp 0712 000 464, email abrahamashiraf@gmail.com or aweke link hapo me ntaztafuta.
 
Jaribu hii: download free diamond sound mp3 by stafa.
Naamini hapa utapata maana kuna collection ya nyimbo nyingi mchanganyiko.
 
Natafuta nyimbo za Mchinga Sound unaitwa Kaisi na enzi za Diamond Sound kuna band iliimba wimbo wa Hadija (jina la hiyo band siikumbuki)
 
Mkuu wimbo wa Hadija ulipigwa na bendi ya FM Musica International na ulitoka mwaka 1998 ukiwa ni utunzi wa Nyoshi William "El Saadat"Kupata original version ya wimbo huu ni ngumu sana ila live performances zipo
 
Dah mimi natafuta kweli wimbo mmoja unaitwa "Unapoanza maisha anza sasa usisubiri kesho"
Ni zing zong kati ya Banza stone na Malow stonch
Huu ni tofauti na ule banza aliimba na Twanga

Nautafuta sana
 
Jumamosi ya leo marafiki wawili wawili mimi mkono kishavu naumia nenda moyo wangu ubaki na amani utakapo kwenda nakutakia kila la kheri utakae kutana nae umpe mapenzi ya kweli. duh valentine day hiyo hapo mulumba na kina kamuke sukari na marium zidane ikibindankoy hiyo
 
kama vipi ajitokeze mdau atengeneze blog aweke sebene za zamani kama hizo tuwe tuna download. mie natafuta nyimbo kama mgema wa inafrica band, maprosoo (sijui hata kaimba nani), lightness ya twanga pepeta, hizo za kibinda nkoyi n.k 0714-421018. mwenye nazo anirushie kupitia watsapp
 
Hata mimi natafuta hizi nyimbo sana, leo asubuhi nimejaribu kutafuta kwenye mitandao bila mafanikio kumbe kuna wengine wanatafuta pia!
 
Hata mimi natafuta hizi nyimbo sana, leo asubuhi nimejaribu kutafuta kwenye mitandao bila mafanikio kumbe kuna wengine wanatafuta pia!

Kuna group lipo na baadhi ya hizo nyimbo hapo juu utapata, ukweli hizo nyimbo inavyoonyesha hazipatikani hovyo mtaani 7b nlienda Kariakoo hakuna. Nimejaribu kwenda TBC pale nikaishia kupewa ahadi hewa kwani niliambiwa zipo ila zipo kwenye zile tape za zamani. Kwa hiyo niache flash then zikiwa tayari atanijulisha ila mpaka wa leo hakuna. Nikajarib kuwasiliana na MKITO.COM wenyewe wakaniambia hawana hizo nyimbo. Ila nichek WhatsApp nikuunge chap upate zilizopo.
 
Brother namba yangu ni 0716004610 naomba unitumie nyimbo za Diamond Sound Kimalumalu, Neema na nyingine zote ulizo nazo.
 
kama vipi ajitokeze mdau atengeneze blog aweke sebene za zamani kama hizo tuwe tuna download. mie natafuta nyimbo kama mgema wa inafrica band, maprosoo (sijui hata kaimba nani), lightness ya twanga pepeta, hizo za kibinda nkoyi n.k 0714-421018. mwenye nazo anirushie kupitia watsapp

Mkuu huo wimbo wa maprosoo ulishaupata? Mi ninao, nikurushie?
 
Kuna group lipo na baadhi ya hizo nyimbo hapo juu utapata, ukweli hizo nyimbo inavyoonyesha hazipatikani hovyo mtaani 7b nlienda Kariakoo hakuna. Nimejaribu kwenda TBC pale nikaishia kupewa ahadi hewa kwani niliambiwa zipo ila zipo kwenye zile tape za zamani. Kwa hiyo niache flash then zikiwa tayari atanijulisha ila mpaka wa leo hakuna. Nikajarib kuwasiliana na MKITO.COM wenyewe wakaniambia hawana hizo nyimbo. Ila nichek WhatsApp nikuunge chap upate zilizopo.

Mkuu vipi hizi nyimbo umeshazipata? Manaake nilikuwa na kazi ya ziada kutafuta hii thread. Kama ni lazima kwa WhatsApp labda ni kutumie PM namba yangu.
 
wadau hata mimi natafuta kuna nyimbo flani ya Akudo inaitwa Crazy in love atakayokua nayo naomba anifowardie on wats app 0785 022285 au mwenye link ntashukuru pia
 
Ale jumamosi jumamosi ntalala wapi eeeeh nakolala wap na silent inn Hahhaa aise kitambo sana
 
kama vipi ajitokeze mdau atengeneze blog aweke sebene za zamani kama hizo tuwe tuna download. mie natafuta nyimbo kama mgema wa inafrica band, maprosoo (sijui hata kaimba nani), lightness ya twanga pepeta, hizo za kibinda nkoyi n.k 0714-421018. mwenye nazo anirushie kupitia watsapp

Maprosoo ni Kilimanjaro band Njenje.
 
Back
Top Bottom