Nyeti za siri zinapochafukwa

Nyeti za siri zinapochafukwa

Bado tu?.....
Kiswahili Ni kigumu japo tunacho kila siku.
Twende kwa lugha picha[emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums-405430377.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Tarehe 9 .................... Mshana uliianza ndoto zako!
Zitatamalaki kwakuwa hazina kikomo cha nyakati mpaka unabii utimie[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Ila bado pumzi ipo kwakuwa hakafikishwa kiotani , hivyo kuna nafasi walau finyu ya kuepa na lukikwepa kipanga cha makucha na mdomo wa tai katili
Yaani akiponyoka hapo huyu nyoka hakika atatubu dhambi zake zote............. Hivi nyoka nao wakogo na madhambi zao eh?
 
Yaani akiponyoka hapo huyu nyoka hakika atatubu dhambi zake zote............. Hivi nyoka nao wakogo na madhambi zao eh?
Alikuwa mkuu wa malaika kabla ya kuasi...
 
Alikuwa mkuu wa malaika kabla ya kuasi...
Oh nilishasahaugi mwe....... mdudu huyu mimi namuogopa sana aisee... Hii picha tu Kaka Mshana nitaota usiku mdogo wako.
Ah haya turudi kwenye semi na nahau zako tusijeadhibiwa kwa kutoka nje ya mada.......... Mod anatudeku tu ujue 😉
 
Oh nilishasahaugi mwe....... mdudu huyu mimi namuogopa sana aisee... Hii picha tu Kaka Mshana nitaota usiku mdogo wako.
Ah haya turudi kwenye semi na nahau zako tusijeadhibiwa kwa kutoka nje ya mada.......... Mod anatudeku tu ujue 😉
"Mimi nalisema nawe wakati wa kufanikiwa kwako; lakini ulisema, Sitaki kusikia. Hii ndiyo iliyokuwa desturi yako tangu ujana wako, kutokuitii sauti yangu"
#Yeremia 22:21

Baba turehemu....
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Mkuu kumbe hata kwenye tungo tata upo?? Nimezielewa vzr kulingana na hali ya hewa ila wakiandikiwa watu wengine tungo kama hizi, hawawezi kuelewa kamwe😁
 
Mkuu kumbe hata kwenye tungo tata upo?? Nimezielewa vzr kulingana na hali ya hewa ila wakiandikiwa watu wengine tungo kama hizi, hawawezi kuelewa kamwe[emoji16]
[emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752]
 
Andiko/ Neno zito hili..............................Tafakuri
Hii ndiyo iliyokuwa desturi yako tangu ujana wako, kutokuitii sauti yangu" [emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Trump hakuumwa! Mzee yule ni muongo kupindukia. Kila limtokalo mdomoni ni uongo kwa minajili ya kujinufaisha.
Boris si mzee kiasi hicho, ni wa miaka ya 50, ila usipojikinga, maradhi yatakupata. Kheri yake nchi yao ina Kila aina ya ujuzi juu ya matibabu.
Kwetu tunajinasibu kwa majengo tu, huduma hamna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom