Mficha unyonge? Udhaifu humkumba!!![emoji848][emoji2827]
Hapana mkuu wangu Duduvwili nimemkumbuka tu mwalimu wangu wa fasihi chuoni na tamathali za semi..Jamani mkuu Mshana ungeweka wazi kidogo kunani? Maana nipo mwashilalage hapa sipati picha kabisa nini kinaendelea kuna mtu yupo abroad akipumulia mashine au kunani
Mficha maradhi kifo humuumbuaMficha uchi hazai
Mkataa pema pabaya panamwita.
Anajitahidi kukwepa mishale ya moderators. Ha haaaa! Ila wakinuia watamdunga / mchoma tu!Fasihi kali