Nyeti za siri zinapochafukwa

Nyeti za siri zinapochafukwa

Trump hakuumwa! Mzee yule ni muongo kupindukia. Kila limtokalo mdomoni ni uongo kwa minajili ya kujinufaisha.
Boris si mzee kiasi hicho, ni wa miaka ya 50, ila usipojikinga, maradhi yatakupata. Kheri yake nchi yao ina Kila aina ya ujuzi juu ya matibabu.
Kwetu tunajinasibu kwa majengo tu, huduma hamna!
giphy.gif
 
Lisemwalo linasemwa na waliozoea kufanya ufisadi, sasa hasira zao wamehamishia kwenye uzushi na uzandiki
 
Lisemwalo linasemwa na waliozoea kufanya ufisadi, sasa hasira zao wamehamishia kwenye uzushi na uzandiki
Hebu tufanyeni kikowa na kulimaliza hili lisifutikwe mchagoni, ndimi hazitatulia na midomo haitapumbaa....! na ndimi zisipotulia mafikara yataundiwa uhalisia kisha midomo itaropoka ropo!
 
Hebu tufanyeni kikowa na kulimaliza hili lisifutikwe mchagoni, ndimi hazitatulia na midomo haitapumbaa....! na ndimi zisipotulia mafikara yataundiwa uhalisia kisha midomo itaropoka ropo!
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa majaba ya maji.
 
Fasihi zina taek wondo, kungfu panda, wu shu , Palanawe, karate mkanda mweusi na Judo ,🔥🔥🔥🔥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom