UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,018
nina wasiwasi nauwezo na akili ya mleta mada.
Nyerere wetu, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika na Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania, kasingiziwa mengi sana.
Ntaanza kuyataja hapa mambo 7 aliyosingiziwa na ntatowa sababu kwanini kasingiziwa.
7) Nyerere anasingiziwa kuwa hajaiba,
Si kweli, BOT kabla ya Nyerere kung'atuka iliwaka moto na hakuna senti moja iliyobakia, ni nani alichukuwa? ni nani alichunguza?
Kamasi Nyerere aliyeiba basi ni Mtei wa Chadema, aje hapa Mtei bado yuko hai, ni vipi BOT iliwaka moto mpaka kuteketeza kila kitu?
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 30, bgcolor: #EEEEEE, align: center"]2[/TD]
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE, align: center"][/TD]![]()
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE"]Mr. Charles Nyirabu[/TD]
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE"]From 1974 to 1989[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE, align: center"][/TD]![]()
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE"]Mr. Edwin I. Mtei[/TD]
[TD="width: 210, bgcolor: #EEEEEE"]From 1966 to 1974[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
"Unfortunately, the Bank of Tanzania Headquarters building was destroyed by the fire of 1984, leaving only the empty brickwork and concrete structure. The meticulous, local hard woodwork inside partititioning, including the exquisite Mninga and Mvule furniture and Elimo Njau's Mural, and all the records and documents were engulfed in that inferno. A Golden Sword hanging in the Governor's Office, presented to me on the occassion of the official opening of the building by Jonathan Frimpong Ansah, Governor of the Bank of Bank of Ghana, and a life-size portrait of President Nyerere I had commissioned the artist Raithatha to prepare, were also reduced to ashes" - Edwin Mtei, the first Governor of BOT, 'From Goatherd to Governor: The Autobiography of Edwin Mtei' page 104.
Hivi:"punguani wahed" maana yake nn? FaizaFoxy
Kuitwa mtu Dr. Si kuwa yeye anajiita Dr. bali wapambe wanamuita Dr. Hususan akiwa Daktari wa heshima.
Napenda sana wanawake wa kitanzania wenye confidence ya namna hii... Yaani kawajaza wanaume kama mia wenye panic 100% lakini ye amerelax tu.
This turns me on.. Nimetokea kukupenda FF.
Na mimi naongezea;
8- Mlm.Nyerere anasingiziwa kuwa ni Mjamaa /Msocialist- Sio Kweli Mlm.Nyerere hajawahi kuwa Mjamaa na Ushahidi ni kwamba maisha yake yote alikuwa anatumia gari aina ya Mercedes Benz iliyotengenezwa nchini Ujerumani nchi ambayo ndiyo baba wa Ubepari, Pili Mlm.Nyerere alifia Uingereza Nchi ya Kibebepari ingawaje Shuleni alitufundisha siku zote kuwa Ubepari ni Unyama!
9- Mlm.Nyerere anazingiziwa aliunganisha Watanzania kwa Lugha moja ya Kiswahili SIYO Kweli Mlm.Nyerere Kiswahili alikikuta hapa na wakati anazaliwa Kiswahili tayari ndio ilikuwa Lugha rasmi inayotimiwa hapa nchini na hii ni kwa sababu ya Biashara ya Makaravani iliyopita kuanzia Kongo mpaka Bagamoyo, Dini ya Kiislamu, na pia zaidi sana sana Dini ya Kikristo iliyotambua Kiswahili na kukitumia kama Lugha ya kufundishia Mashuleni na Makanisani!
comments nyingine zinakudhalilisha tu.Dr. Manyanyau ana PhD ya nini?
Lbada sijaliona tu na sijajibu kila kitu, nnapitia kidogokidogo wacha kiherehere.
Nyerere aliendelea kujiita mwalimu hata baada ya urais, 'tumpate wap tena mtu kama yule??'