Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Mheshimiwa hapa ume offend sana,na ulichokifanya ni kutangaza vita na Muumba wa mbingu,ardhi na vilivyomo baina yake bila kusahau mimi na wewe.Mtume Muhammad(SAW) ataendelea kuwa mtume wa MwenyeziMungu despite the attacks from every angle,kwa mtu mwenye akili na kutafakari,angepata majibu ya haraka sana juu ya uislam.Ina kila sifa ambazo ,kwa mujibu wa adui zake,isingestahili kuendelea kuwepo.Madai yako mengi:waumini wake ni un educated,uncivilised,backwarded etc,but still it's the fastest growing religion in the developed countries ambako wana kila aina ya maendeleo.
We have no comparative military mighty but yet tunatumiwa kila aina advanced weaponry,psychological warfare etc....,sijitetei na wala silalamiki..kwa sababu muislam yyte ana expect kupata hizi consequences as the test of faith.What am trying to do is to assure u that....HAKUNA kitakacho angusha uislam katika hii dunia....utaendelea kuhimili vishindo vyote na itaendelea kuwa ndio dini ya haki mbele ya Muumba.Kwa hiyo ukifanyacho wewe na watu kama wewe ni kupoteza muda na kujiongezea stress za life
Muislam wa kweli kausiwa subra dhidi ya vitimbi muvifanyavo huku akiwa na uhakika kuwa no matter how....the truth always floats
above lies.
Nakutakia kila kheir mkubwa
Qadhi
Hakuna sababu za kujaa upepo.
Hiyo post yako NDEEEFU haina mantiki. Muhammad ni mtume wa wasilamu tu kwa wengine ni mtu wa kawaida tu, a mere NOBODY, even a CRIMINAL. The same kama watu kwene hii thread wanavyo-question u-saint wa Nyerere. It is the same democracy mzee. Hakuna cha adhabu za mungu wala nini hapa..hizo adhabu exists only to the people who believe in those adhabuz.