Kwanini Abeid Amani Karume Alimtimua J.Okello "Empty Handed" licha ya kumsaidia kufanya Mapinduzi ya kumtoa Sultan?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,835
Katika watu wanaotajwa kuchangia pakubwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar ya January 12,1964 ni John Okello kutoka Uganda akiwa Kijana wa umri mdogo wa miaka 29.

Yeye pamoja na wanamaponduzi wenzie kama Mohammed Babu na Hanga walijitolea kumfurusha Sultan na kisha Kuwapa nafasi kina Abeid Amani Karume kushika Dola.

Ila Sasa Cha kushangaza ,Karume na kundi lake walingeuka Okello wakamtimua akiwa hana kitu "roho mbaya" kana kwamba alikuwa ni askari wa Sultan.

On top of that bwana Karume alimnhonga Hanga Kwa kile kilichoitwa uhaini.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1745833625155768821?t=UABf-uGK2-5pudnq0FwotQ&s=19

My Take
Karume alikuwa katili sana ndio maana hakudumu madarakani akapigia upanga ule ule ambao aliwapitisha wenzie.
 
Katika watu wanaotajwa kuchangia pakubwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar ya January 12,1964 ni John Okello kutoka Uganda akiwa Kijana wa umri mdogo wa miaka 29.

Yeye pamoja na wanamaponduzi wenzie kama Mohammed Babu na Hanga walijitolea kumfurusha Sultan na kisha Kuwapa nafasi kina Abeid Amani Karume kushika Dola.

Ila Sasa Cha kushangaza ,Karume na kundi lake walingeuka Okello wakamtimua akiwa hana kitu "roho mbaya" kana kwamba alikuwa ni askari wa Sultan.

On top of that bwana Karume alimnhonga Hanga Kwa kile kilichoitwa uhaini.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1745833625155768821?t=UABf-uGK2-5pudnq0FwotQ&s=19

My Take
Karume alikuwa katili sana ndio maana hakudumu madarakani akapigia upanga ule ule ambao aliwapitisha wenzie.

Kwa sababu hayo ndio malipo ya chawa kama wewe wasio kuwa na akili timamu kutumika ovyo.
 
Huu ulikua mpango wa watu wenye mamlaka na ujuzi wa mambo kijeshi,okello aliingia mapema zenji,akijifanya mfuatua tofali,wakata mkonge Tanga walivushwa usiku kwenda visiwani kukata shingo za wanawake na watoto wasio hatia,alichofanywa okello kilikua sahihi, karma haikutaka kuzunguka,ni tit for tat..nadhani aliondoka na maumivu makubwa moyoni
 
Katika watu wanaotajwa kuchangia pakubwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar ya January 12,1964 ni John Okello kutoka Uganda akiwa Kijana wa umri mdogo wa miaka 29.

Yeye pamoja na wanamaponduzi wenzie kama Mohammed Babu na Hanga walijitolea kumfurusha Sultan na kisha Kuwapa nafasi kina Abeid Amani Karume kushika Dola.

Ila Sasa Cha kushangaza ,Karume na kundi lake walingeuka Okello wakamtimua akiwa hana kitu "roho mbaya" kana kwamba alikuwa ni askari wa Sultan.

On top of that bwana Karume alimnhonga Hanga Kwa kile kilichoitwa uhaini.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1745833625155768821?t=UABf-uGK2-5pudnq0FwotQ&s=19

My Take
Karume alikuwa katili sana ndio maana hakudumu madarakani akapigia upanga ule ule ambao aliwapitisha wenzie.

Uwoga wa kupinduliwa hivi unajua wanzazibar walishakubali kuwa mwarabu hawezekaniki huko zanzibar..

Ila ghafla mwanamapinduzi john okelo akiongoza kikosi kidogo tu cha wanajeshi waliweza kufanya mapinduzi ndani ya masaa 3 tu..

Kilichomtisha zaidi karume ni overconfident ya john okelo alipokuwa akizungumza kupitia redio zanzibar kuwa amepindua nchi na atamchinja yyte yule kwa mikono yake mwenyewe atayethubutu kuleta ujeuri au pingamizi la mapinduzi hayo.

Hiyo tisa kumi waarabu waliuwawa kikatili na watoto wao na wake zao kubakwa na wanamapinduzi kwa maelfu (ushahidi upo YouTube).

Hata kama ni wewe ungeweza kuvumilia kuendelea kubaki na mtu kama john okelo kwenye serikali yako, john okelo alijitanabaisha kabisa yeye ni mwanamapinduzi.

Note: kipindi mapinduzi yanafanyika zanzibar kina babu na karume walikuwa dar es salaam kwa nyerere yaani walishakimbia maana walijua mapinduzi yangefeli ila baada ya kusikia okelo kafanikiwa ndio karume akageuka faster na boti kwenda zanzibar.
 
Nashangaa mpaka muda huu hakuna anayejibu wakati ni jambo linalofahamika.
Okelo alikuwa kiongozi wa tawi la vijana tumfananishe na Mohamed kawaida.
Of course alifanya kazi nzuri ila okelo traditional ni mwanamapinduzi na sio mtawala. Inasemekana siku alizo kalia kiti zanzibar iliwaka moto
 
Uwoga wa kupinduliwa hivi unajua wanzazibar walishakubali kuwa mwarabu hawezekaniki huko zanzibar..

Ila ghafla mwanamapinduzi john okelo akiongoza kikosi kidogo tu cha wanajeshi waliweza kufanya mapinduzi ndani ya masaa 3 tu..

Kilichomtisha zaidi karume ni overconfident ya john okelo alipokuwa akizungumza kupitia redio zanzibar kuwa amepindua nchi na atamchinja yyte yule kwa mikono yake mwenyewe atayethubutu kuleta ujeuri au pingamizi la mapinduzi hayo.

Hiyo tisa kumi waarabu waliuwawa kikatili na watoto wao na wake zao kubakwa na wanamapinduzi kwa maelfu (ushahidi upo YouTube).

Hata kama ni wewe ungeweza kuvumilia kuendelea kubaki na mtu kama john okelo kwenye serikali yako, john okelo alijitanabaisha kabisa yeye ni mwanamapinduzi.

Note: kipindi mapinduzi yanafanyika zanzibar kina babu na karume walikuwa dar es salaam kwa nyerere yaani walishakimbia maana walijua mapinduzi yangefeli ila baada ya kusikia okelo kafanikiwa ndio karume akageuka faster na boti kwenda zanzibar.
Alipinduliwa Waziri mkuu Mohammed shamte,baada ya kushinda uchaguzi 1963,shamte ni mweusi kuliko mpoki,mfumo wa Zanzibar ulikua Kama uingereza, monarch ni pambo tu
 
Nashangaa mpaka muda huu hakuna anayejibu wakati ni jambo linalofahamika.
Okelo alikuwa kiongozi wa tawi la vijana tumfananishe na Mohamed kawaida.
Of course alifanya kazi nzuri ila okelo traditional ni mwanamapinduzi na sio mtawala. Inasemekana siku alizo kalia kiti zanzibar iliwaka moto
Kwa hiyo Mwanamapinduzi kazi yake ni kupindua tuu?
 
Yericko Nyerere tunaomba ufafanuzi katika hili Mkuu, undani wa John Okelo na sababu za kuwekwa kizuizini ilihali aliongoza mabadilko
Majibu yote nilishaeleza kwa undani sana katika kitabu hiki, Okello alipinduliwa akatekwa na kwenda kutupwa Uganda na Julius Kambarage Nyerere kisha Urais wa Zanzibar akampatia Karume, shughuli zote zikakamilka pale Ukonga terminal 1 jiji Dar es Salaam.
IMG_20240113_124150_153.jpg
 
Katika watu wanaotajwa kuchangia pakubwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar ya January 12,1964 ni John Okello kutoka Uganda akiwa Kijana wa umri mdogo wa miaka 29.

Yeye pamoja na wanamaponduzi wenzie kama Mohammed Babu na Hanga walijitolea kumfurusha Sultan na kisha Kuwapa nafasi kina Abeid Amani Karume kushika Dola.

Ila Sasa Cha kushangaza ,Karume na kundi lake walingeuka Okello wakamtimua akiwa hana kitu "roho mbaya" kana kwamba alikuwa ni askari wa Sultan.

On top of that bwana Karume alimnhonga Hanga Kwa kile kilichoitwa uhaini.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1745833625155768821?t=UABf-uGK2-5pudnq0FwotQ&s=19

My Take
Karume alikuwa katili sana ndio maana hakudumu madarakani akapigia upanga ule ule ambao aliwapitisha wenzie.

Wakuu salama,
Chimbeni historia vizuri ili mjue muasisi wa mapinduzi yale, bahati mbaya sisi tunawaona watekelezaji wa mpango mzima kama ndo wapanga mapinduzi. Ipo siku historia itatuweka huru, ni suala la muda tu. Maadamu wengi wameanza kujua kuwa Okello alishiriki kwa kiwango kikubwa basi tutayajua mengi siku zijazo.
 
Back
Top Bottom