Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Kuna tofauti kubwa sana kati ya ICON na State strong man, Madiba ni ICON, kwanza hakulipiza kisasi kwa watesi wake (aliunda serikali yake kwa kuwashirikisha wapinzani wake ,na kuna wakati Prince M.Buthelezi wa IFP,aliachiwa Urais wa nchi),Madiba aliunda institutions huru na zenye kujitegemea, kama Bunge,( ndio maana EFF wanauhuru mno na hakuna anayelala jela kuwa kukutwa kwenye viroba ),JUDICIARY huru,yenye maamuzi huru hapa CJ anatukanwa kwa sababu amepoteza RESPECT, binafsi salute kwa CJ Francis Nyalali(MHSRIP),huyu ali pata heshima kwa utendaji wake, Madiba alitengeneza Katiba bora na kuifanya SA iwe nchi inayoongozwa kikatiba (constitution court ndio inayotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge),president Nyerere (MHSRIP )aliyaona yote haya akaamua kuendeleza udikiteta wa kikoloni, je ni mwenye heri ?,it's a NO kwangu
Na pili akawa anafadhili vikundi vya waasi kama wakina Mseveni na Kagame,mpaka leo maamuzi yake yanaleta machafuko kwenye ukanda wa maziwa makuu
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Mkuu unatakiwa ufahamu neno Colonialism ama mkoloni halimaanishi ulichoongea.

Ili kuwe na ukoloni inabidi kuwe na Unyonyaji Wa Rasilimali. Nyerere na mapungufu yake alikufa masikini na Familia yake Pia tunawajua ni masikini hivyo hakua mkoloni.

Wakoloni walitoa Rasilimali Africa na kuwanyonya wa Africa na kupeleka Ulaya.

Mtu anaekalia watu kimabavu na kuwanyima uhuru anaitwa dikteta.
 
Nyerere naweza kumlaumu kuwa mkoloni kwa sababu kuna sheria nyingi za kikoloni, kama za indefinite detention, na mfumo mzima wa kuifunga nchi isiwe huru, kama kupiga marufuku vyama vingi na kuzuia wapinzani wake kama kina Christopher Kasanga Tumbo na Joseph Kassela Bantu, alifanya hayo tangu awali kabisa.

Aliruhusu mfumo wa kikoloni uendelee tangu mwanzo wa utawala wake. Mambo mengi kama muungano, mabadiliko ya katiba, muelekeo wa nchi, Azimio la Arusha, mfumo wa Ujamaa na operesheni ya kuhamia Vijiji vya Ujamaa n.k, yalifanywa kikoloni koloni kwa maamuzi kutoka juu.

Ukisoma ripoti ya Justice Francis Nyalali alivyoandika mpaka sheria 40 kandamizi, utaona Nyerere alipinga sana sheria za kikoloni kabla hatujapata uhuru, lakini, tulivyopata uhuru, yeye mwenyewe akaendelea kuzitumia sheria hizo hizo za kikoloni wakati aliweza kuziondoa.

Hivyo, kwa muktadha huo, Nyerere ana makosa mengi na anaweza kuitwa kuwa aliendeleza mfumo wa kikoloni chini yake yeye mwenyewe.

Kuhusu Zanzibar, mara baada ya Nyerere kuunga mkono serikali ya Biafra iliyojitenga kutoka Shirikisho la Nigeria (kwa style ya kikoloni sana, baraza la mawaziri halikupata nafasi ya kujadili kwa kina kumpinga Nyerere katika hoja hii), kitendo kilichowashangaza wengi, kwa kuwa kilikuwa ni kinyume na muongozo wa OAU kuhusiana na "territorial integrity" na hata falsafa zake mwenyewe Nyerere zinazojulikana kama "The Nyerere Doctrine", Nyerere ilibidi ajieleze kwa jumuiya ya kimataifa, ana maana gani kuunga mkono kujitenga kwa Biafra kutoka Shirikisho la Nigeria.

Tarehe 13 Aprili 1968, Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kuitambua serikali ya Biafra.

Nyerere aliandika makala ya Oppposite Editorial (Op-Ed) katika gazeti la The Guardian la London, akieleza kwa nini ameunga mkono Biafra kujitenga na Shirikisho la Nigeria.

Katika makala hiyo, Nyerere alielezea imani yake kwamba watu wa Biafra wameonewa sana na Nigeria na walikuwa na haki ya kuamua kujitenga. Alielezea kuwa hata Tanzania tuna muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kwamba, ikija siku watu wa Zanzibar wakakubaliana kwamba wameonewa na watu wa Tanganyika, wakaamua kujitenga, yeye Nyerere hatakuwa na jinsi bali kuwakubalia matakwa yao ya kujitenga.

Tatizo la Zanzibar si Nyerere. Tatizo la Zanzibar hata wao wenyewe Zanzibar hawajakubaliana kwamba wanataka kujitenga. Zanzibar ukienda Pemba utasikia habari moja, ukija Unguja utasikia habari tofauti.

Wazanzibari wenyewe hawajakubaliana wanataka nini.

Sasa hapo utamlaumu Nyerere vipi?

Soma
"Building A Peaceful Nation: Julius Nyerere And The Establishment of Sovereignty in Tanzania 1960-1964" cha Profesa Paul Bjerk.

Soma
"Nyerere and Africa: End Of An Era: cha Godfrey Mwakikagile.

Soma
"Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere" cha Petro D.M Bwimbo.

Soma
"Nyalali Commission Report". Justice Francis Nyalali, et al.

Soma
"International Law And The New States Of Africa" by Yilma Makonnen.

Mohamed Said

Poppy Hatonn
Tutaendelea kumwenzi pamoja critics nyingi lakini ukweli ni kuwa hakuna kiongozi Tanzania kama Nyerere.Hakuna mtu asiye na kasoro lakini kiutendaji ni mwamba.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ICON na State strong man, Madiba ni ICON, kwanza hakulipiza kisasi kwa watesi wake (aliunda serikali yake kwa kuwashirikisha wapinzani wake ,na kuna wakati Prince M.Buthelezi wa IFP,aliachiwa Urais wa nchi),Madiba aliunda institutions huru na zenye kujitegemea, kama Bunge,( ndio maana EFF wanauhuru mno na hakuna anayelala jela kuwa kukutwa kwenye viroba ),JUDICIARY huru,yenye maamuzi huru hapa CJ anatukanwa kwa sababu amepoteza RESPECT, binafsi salute kwa CJ Francis Nyalali(MHSRIP),huyu ali pata heshima kwa utendaji wake, Madiba alitengeneza Katiba bora na kuifanya SA iwe nchi inayoongozwa kikatiba (constitution court ndio inayotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge),president Nyerere (MHSRIP )aliyaona yote haya akaamua kuendeleza udikiteta wa kikoloni, je ni mwenye heri ?,it's a NO kwangu
Mungu azidi kumlinda Nyerere huko aliko kwani bila yeye Madiba asingetoka gerezani na kuja kuwa Rais wa South Africa.
 
Tutaendelea kumwenzi pamoja critics nyingi lakini ukweli ni kuwa hakuna kiongozi Tanzania kama Nyerere.Hakuna mtu asiye na kasoro lakini kiutendaji ni mwamba.
Inawezekana kumuenzi Nyerere katika mambo mengi tu, kama kwenye kupigania uhuru wa Afrika, kwenye kutengeneza jamii ambayo haina matabaka makubwa sana, kwenye kujenga umoja wa kitaifa, kwenye kuweka mfano wa kiongozi ambaye hajajilimbikizia mali, kwenye kupigania "territorial integrity" ya Tanzania kwa vita mpaka kumuondoa Idi Amin Uganda, kwenye mfano aliotuachia wa kung'atuka uongozi na kuwaachia wengine. Kwenye mfano aliotuachia wa "an African philosopher king".

Nyerere hana umasikini wa vitu tunavyoweza kumsheherekea.

Lakini, hilo halina maana kwamba hatuna ya kumkosoa na kumlaumu kama kwenye hayo ya sheria za kikoloni.

Nyerere mwenyewe kama mwanafalsafa hakututegemea tusimkosoe. Yeye mwenyewe katika maandishi yake aliyoandika mwenyewe kama "Tujisahihishe" alikubali kuwa ana makosa pia.

Muandishi nguli wa Kirusi aliyeshinda nishani ya Nobel ya fasihi ya uandishi mwaka 1970, Alexander Solzhenitsyn aliandika hivi.

"If only there were evil people somewhere insidiously committing evil deeds, and it were necessary only to separate them from the rest of us and destroy them. But the line dividing good and evil cuts through the heart of every human being. And who is willing to destroy a piece of his own heart?

During the life of any heart this line keeps changing place; sometimes it is squeezed one way by exuberant evil and sometimes it shifts to allow enough space for good to flourish. One and the same human being is, at various ages, under various circumstances, a totally different human being. At times he is close to being a devil, at times to sainthood. But his name doesn't change, and to that name we ascribe the whole lot, good and evil.

Socrates taught us: 'Know thyself!"


Alexander Solzhenitsyn, The Gulag Archipelago
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ICON na State strong man, Madiba ni ICON, kwanza hakulipiza kisasi kwa watesi wake (aliunda serikali yake kwa kuwashirikisha wapinzani wake ,na kuna wakati Prince M.Buthelezi wa IFP,aliachiwa Urais wa nchi),Madiba aliunda institutions huru na zenye kujitegemea, kama Bunge,( ndio maana EFF wanauhuru mno na hakuna anayelala jela kuwa kukutwa kwenye viroba ),JUDICIARY huru,yenye maamuzi huru hapa CJ anatukanwa kwa sababu amepoteza RESPECT, binafsi salute kwa CJ Francis Nyalali(MHSRIP),huyu ali pata heshima kwa utendaji wake, Madiba alitengeneza Katiba bora na kuifanya SA iwe nchi inayoongozwa kikatiba (constitution court ndio inayotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge),president Nyerere (MHSRIP )aliyaona yote haya akaamua kuendeleza udikiteta wa kikoloni, je ni mwenye heri ?,it's a NO kwangu
Usimsifie mandela alicopy mfumo wa apartheid kama ulivyo tofauti ni kwamba walikua watu weusi wasiokua na vision kama Ilivyo kwa watu weupe ndo maana hali ya south afrika kiuchumi ni mbaya sana
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
kuchukizwa na wakoloni sidhani,maana katibu muhtasi wake wa maisha alikua mzungu,na aliteua mawaziri wazungu
 
Usimsifie mandela alicopy mfumo wa apartheid kama ulivyo tofauti ni kwamba walikua watu weusi wasiokua na vision kama Ilivyo kwa watu weupe ndo maana hali ya south afrika kiuchumi ni mbaya sana
Acha kukariri, aliyekuambia uchumi wa SA upo hoi ni nani?,Tanzania tunadaiwa $34bn, na why viongozi wetu wanafia millpark Netware na sio Temeke Hospital?,upumbavu ni mtaji mkubwa wa royal families, tezi dume mtu kakimbilia USA na sio Mwananyamala hosp
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Wewe malaya inakusaidia nini kuandika uwongo hapa? Kama umekosa mtu wa kukutia kanunue dildo ujifanye mwenyewe.

Achana na baba wa taifa
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Kuna jambo ulitaka kutuelekeza lakini umekwama places.Hebu toa part 2/featuring ya sledi tuone ulitaka nini hasa!
 
Mungu azidi kumlinda Nyerere huko aliko kwani bila yeye Madiba asingetoka gerezani na kuja kuwa Rais wa South Africa.
Huu ni upumbavu mwingine, yale yale ya kusema Nyerere ndiye pekee aliyeikomboa Tanganyika, soma hii,soweto 1976 students uprising ndio ilichochea mabadiliko ya utawala wa rangi ndani SA, pia president wa National Party, DE Kleck, mauaji ya Chris Hani haya ndio yaliyoleta mabadiliko kule na sio front line states, anc&pac hawajawahi kufanya battles na jeshi la buru, bila shaka umeelimika kidogo,penda kujisomea ili kuondoa upumbavu wa ndio ndio
 
Watu ni wapumbavu sana... nani kiongozi Tanzania. hii kama Nyerere..???
 
Back
Top Bottom