Ikizu Bukama
Member
- Nov 26, 2023
- 67
- 153
Na pili akawa anafadhili vikundi vya waasi kama wakina Mseveni na Kagame,mpaka leo maamuzi yake yanaleta machafuko kwenye ukanda wa maziwa makuuKuna tofauti kubwa sana kati ya ICON na State strong man, Madiba ni ICON, kwanza hakulipiza kisasi kwa watesi wake (aliunda serikali yake kwa kuwashirikisha wapinzani wake ,na kuna wakati Prince M.Buthelezi wa IFP,aliachiwa Urais wa nchi),Madiba aliunda institutions huru na zenye kujitegemea, kama Bunge,( ndio maana EFF wanauhuru mno na hakuna anayelala jela kuwa kukutwa kwenye viroba ),JUDICIARY huru,yenye maamuzi huru hapa CJ anatukanwa kwa sababu amepoteza RESPECT, binafsi salute kwa CJ Francis Nyalali(MHSRIP),huyu ali pata heshima kwa utendaji wake, Madiba alitengeneza Katiba bora na kuifanya SA iwe nchi inayoongozwa kikatiba (constitution court ndio inayotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge),president Nyerere (MHSRIP )aliyaona yote haya akaamua kuendeleza udikiteta wa kikoloni, je ni mwenye heri ?,it's a NO kwangu