Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,028
12,351
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndio maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Nyerere naweza kumlaumu kuwa mkoloni kwa sababu kuna sheria nyingi za kikoloni, kama za indefinite detention, na mfumo mzima wa kuifunga nchi isiwe huru, kama kupiga marufuku vyama vingi na kuzuia wapinzani wake kama kina Christopher Kasanga Tumbo na Joseph Kassela Bantu, alifanya hayo tangu awali kabisa.

Aliruhusu mfumo wa kikoloni uendelee tangu mwanzo wa utawala wake. Mambo mengi kama muungano, mabadiliko ya katiba, muelekeo wa nchi, Azimio la Arusha, mfumo wa Ujamaa na operesheni ya kuhamia Vijiji vya Ujamaa n.k, yalifanywa kikoloni koloni kwa maamuzi kutoka juu.

Ukisoma ripoti ya Justice Francis Nyalali alivyoandika mpaka sheria 40 kandamizi, utaona Nyerere alipinga sana sheria za kikoloni kabla hatujapata uhuru, lakini, tulivyopata uhuru, yeye mwenyewe akaendelea kuzitumia sheria hizo hizo za kikoloni wakati aliweza kuziondoa.

Hivyo, kwa muktadha huo, Nyerere ana makosa mengi na anaweza kuitwa kuwa aliendeleza mfumo wa kikoloni chini yake yeye mwenyewe.

Kuhusu Zanzibar, mara baada ya Nyerere kuunga mkono serikali ya Biafra iliyojitenga kutoka Shirikisho la Nigeria (kwa style ya kikoloni sana, baraza la mawaziri halikupata nafasi ya kujadili kwa kina kumpinga Nyerere katika hoja hii), kitendo kilichowashangaza wengi, kwa kuwa kilikuwa ni kinyume na muongozo wa OAU kuhusiana na "territorial integrity" na hata falsafa zake mwenyewe Nyerere zinazojulikana kama "The Nyerere Doctrine", Nyerere ilibidi ajieleze kwa jumuiya ya kimataifa, ana maana gani kuunga mkono kujitenga kwa Biafra kutoka Shirikisho la Nigeria.

Tarehe 13 Aprili 1968, Tanzania ilikuwa nchi ya kwanza kuitambua serikali ya Biafra.

Nyerere aliandika makala ya Oppposite Editorial (Op-Ed) katika gazeti la The Guardian la London, akieleza kwa nini ameunga mkono Biafra kujitenga na Shirikisho la Nigeria.

Katika makala hiyo, Nyerere alielezea imani yake kwamba watu wa Biafra wameonewa sana na Nigeria na walikuwa na haki ya kuamua kujitenga. Alielezea kuwa hata Tanzania tuna muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kwamba, ikija siku watu wa Zanzibar wakakubaliana kwamba wameonewa na watu wa Tanganyika, wakaamua kujitenga, yeye Nyerere hatakuwa na jinsi bali kuwakubalia matakwa yao ya kujitenga.

Tatizo la Zanzibar si Nyerere. Tatizo la Zanzibar hata wao wenyewe Zanzibar hawajakubaliana kwamba wanataka kujitenga. Zanzibar ukienda Pemba utasikia habari moja, ukija Unguja utasikia habari tofauti.

Wazanzibari wenyewe hawajakubaliana wanataka nini.

Sasa hapo utamlaumu Nyerere vipi?

Soma
"Building A Peaceful Nation: Julius Nyerere And The Establishment of Sovereignty in Tanzania 1960-1964" cha Profesa Paul Bjerk.

Soma
"Nyerere and Africa: End Of An Era: cha Godfrey Mwakikagile.

Soma
"Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere" cha Petro D.M Bwimbo.

Soma
"Nyalali Commission Report". Justice Francis Nyalali, et al.

Soma
"International Law And The New States Of Africa" by Yilma Makonnen.

Mohamed Said

Poppy Hatonn
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ICON na State strong man, Madiba ni ICON, kwanza hakulipiza kisasi kwa watesi wake (aliunda serikali yake kwa kuwashirikisha wapinzani wake ,na kuna wakati Prince M.Buthelezi wa IFP,aliachiwa Urais wa nchi),Madiba aliunda institutions huru na zenye kujitegemea, kama Bunge,( ndio maana EFF wanauhuru mno na hakuna anayelala jela kuwa kukutwa kwenye viroba ),JUDICIARY huru,yenye maamuzi huru hapa CJ anatukanwa kwa sababu amepoteza RESPECT, binafsi salute kwa CJ Francis Nyalali(MHSRIP),huyu ali pata heshima kwa utendaji wake, Madiba alitengeneza Katiba bora na kuifanya SA iwe nchi inayoongozwa kikatiba (constitution court ndio inayotafsiri sheria zilizotungwa na Bunge),president Nyerere (MHSRIP )aliyaona yote haya akaamua kuendeleza udikiteta wa kikoloni, je ni mwenye heri ?,it's a NO kwangu
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Ukute masikini na wewe ni msomi. Hii nchi Ina vichaa wengi jamani. Kuna mtanzania aliyepewa heshima afrika na Duniani kwa uzalendo na matendo ya kibinadamu zaidi ya Nyerere? Unadhani Tanzania iliheshimishwa na mwinyi,mkapa,jakaya? Hapana. Ni Nyerere buana. Huyu ndiyo baba wa taifa. Wewe ni kichaa wa taifa.
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Na atakuwa mtakatifu soon, nahama katoliki.
 
Kumbukeni tulipewa Uhuru mezani na kipindi hicho Wajinga walikuwa ni wengi wengi kweli kweli Wakabila walikuwa ni wengi wengi kweli kweli Wadini walikuwa ni wengi wengi kweli kweli naona Mwalimu aliona ajikite kwenye haya mambo ya msingi ambayo yangeliweza kulipasua Taifa changa.

Na kipindi hicho kuwa na tabia za "Kikoloni" ilikuwa ni sifa.
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
SAsa ni miaka zaidi ya 40 hayupo madarakani tumeshindwa nini kuuvunja Muungano?
 
Kupitia matendo na fikra zake Mwalimu Nyerere alikuwa mkoloni wa waziwazi mwenye ngozi nyeusi.

Sio kweli kuwa Nyerere alichukizwa na ukoloni ila ukweli ni kwamba Nyerere ukoloni aliupenda sana ila alichukizwa na watu weupe kuwa tendea watu weusi.

Nyerere ukoloni aliupenda sana na ndiyo maana chini ya utawala wake vitendo vya kikoloni juu ya jamii yake ya watu weusi vilitamalaki.

Nyerere hakuona haya kupitisha mambo ya kikoloni yatakayo inyonga jamii yake anayoitawala kizazi cha wakati wake na kizazi kijacho hizi zilikuwa fikra kuu za wakoloni weupe kwa watu weusi.

Ndio maana Nyerere hakuona haya kulazimisha muungano wa kimabavu wa Tanganyika kuikalia kimabavu Zanzibar mpaka leo.

Nyerere hakujali kuhusu kupora uhuru wa wana Tanganyika na kupora uhuru wa Wazanzibari ili tu fikra zake zipate kutimilika.

Nyerere ukoloni aliuhusudu haswa ila hakupenda tu wakoloni weupe kutawala watu weusi.
Nyerere kwa kweli hakuwah kuwa mkoloni na mawazo yake siyo ya Kikoloni kama yale ya Mwendazake na Mama Samiah.
 
Aah kaka, huku kwetu Muheza kuna mzee wetu Clement Kapya yeye anasimulia alipoona Nyerere ameenza ukoloni akaamua kung'atuka mapema miaka ya 70, anasema walimshangaa alivyogeuka kuwa Mungu mtu
Nyie ni vibaraka endelevu wa Waarabu ndiyo maana hata majina yenu ya asili yamekufa kwa sababu fikra zenu zimekufa.Nyerere hakupenda watu wenye fikra za kitumwa alipenda watu huru wenye fikra huru.
 
Back
Top Bottom