Nyerere alikubali kutengeneza system ya kidikteta ambayo tumeirithi, system ambayo haijaandikwa popote kwenye katiba, kwamba ili rais awe na nguvu (power) lazima avae kofia mbili ya chama na ya serikali.
Nyerere aliwahi kusema katiba hii inamapungufu mengi inampa rais nguvu kubwa ya kuweza kuwa hata dikteta lkn pamoja na kuyajua hayo hakuwahi kuchukua hatua zozote za kutatua changamoto hizo.
Mfano, Katiba inataja mihimili mitatu Serikali, Bunge na Mahakama inayojitegemea lkn wakati huo huo Katibu wa bunge na majaji wa Mahakama wanateuliwa na rais.
Pamoja na mazuri ya katiba ya sasa lkn haikidhi kabisa mahitaji mengi ya msingi ya nchi na mwananchi, hasa kwenye eneo la utawala, matatizo tuliyonayo ya kiuongozi mengi yanasababishwa na ubovu wa katiba.
Hatuwezi kumlaumu sana Nyerere labda aliamua hivyo kutokana na hali halisi ya kisiasa ya wakati huo pengine hali hiyo kwa sasa haipo.
Ni wakati mwafaka sasa umefika ili taifa letu lisonge mbele kiuchumi, kijamii na kisiasa watanzania kwa pamoja lazima tuamue kuwa na katiba mpya na sio katiba mpya tu bali iwe katiba bora.
Nyerere aliwahi kusema katiba hii inamapungufu mengi inampa rais nguvu kubwa ya kuweza kuwa hata dikteta lkn pamoja na kuyajua hayo hakuwahi kuchukua hatua zozote za kutatua changamoto hizo.
Mfano, Katiba inataja mihimili mitatu Serikali, Bunge na Mahakama inayojitegemea lkn wakati huo huo Katibu wa bunge na majaji wa Mahakama wanateuliwa na rais.
Pamoja na mazuri ya katiba ya sasa lkn haikidhi kabisa mahitaji mengi ya msingi ya nchi na mwananchi, hasa kwenye eneo la utawala, matatizo tuliyonayo ya kiuongozi mengi yanasababishwa na ubovu wa katiba.
Hatuwezi kumlaumu sana Nyerere labda aliamua hivyo kutokana na hali halisi ya kisiasa ya wakati huo pengine hali hiyo kwa sasa haipo.
Ni wakati mwafaka sasa umefika ili taifa letu lisonge mbele kiuchumi, kijamii na kisiasa watanzania kwa pamoja lazima tuamue kuwa na katiba mpya na sio katiba mpya tu bali iwe katiba bora.