Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,269
- 2,024
Hakika wakati umefika wa kuambiana ukweli Hayati BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere ameifanyia Makubwa Nchi hii kiasi cha LEGACY yake kuendelea kusimama kileleni.
Mwl. Nyerere ameipigania Nchi hii mpaka kupata UHURU wake Tukio ambalo haliwezi kufanywa tena na RAIS mwingine. Mpaka sasa hajatokea RAIS aliyeweza kuwafanyia Watanzania Jambo au TUKIO zito ambalo litakumbukwa na Wananchi Kama wanavyokumbuka Nchi yao Kuwa HURU kupitia Juhudi za MWL. NYERERE.
Marais wengi waliofuata baada ya HAYATI Mwl. NYERERE wamekuwa wakijenga majengo km vile Zahanati Barabara Madaraja ya Juu na Chini vitu ambavyo ni vya kawaida kwa RAIS yeyote anaweza kuvifanya.
Vitu hivyo haviwezi kamwe kuwafanya Wananchi wawakumbuke waliovijenga kwani ni vitu vya kawaida sana kifupi hivyo vitu haviwezi kuwa Legacy ya Mtu.
TUKIO PEKEE kwa sasa ili iwe Kumbukumbu ya kukumbukwa milele ikiwa sambamba na ya UHURU wa NCHI yetu ni KUWAPATIA WANANCHI KATIBA MPYA Mbadala wa KATIBA iliyopo KATIBA iliyopitwa na WAKATI KATIBA iliyojaa VIRAKA KATIBA yenye MAPUNGUFU mengi kwani ina zaidi ya MIAKA 58.
KIU ya WANANCHI kwa sasa ni UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA hivyo RAIS atakayeweza kufanya HIVYO hakika Atakumbukwa MILELE Kama ilivyo kwa HAYATI Mwl. NYERERE.
Kitu pekee kinachomfanya Hayati BABA wa TAIFA Akumbukwe sio Barabara wala Hospital au Vyuo ni UHURU wa NCHI.
Mheshiwa Rais Mstaafu kikwete alijaribu kuwapatia WANANCHI KATIBA MPYA lakini hakufanikiwa
RAIS atakayefanikiwa hakika LEGACY yake itakumbukwa Milele. WANANCHI wanataka KATIBA MPYA.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mwl. Nyerere ameipigania Nchi hii mpaka kupata UHURU wake Tukio ambalo haliwezi kufanywa tena na RAIS mwingine. Mpaka sasa hajatokea RAIS aliyeweza kuwafanyia Watanzania Jambo au TUKIO zito ambalo litakumbukwa na Wananchi Kama wanavyokumbuka Nchi yao Kuwa HURU kupitia Juhudi za MWL. NYERERE.
Marais wengi waliofuata baada ya HAYATI Mwl. NYERERE wamekuwa wakijenga majengo km vile Zahanati Barabara Madaraja ya Juu na Chini vitu ambavyo ni vya kawaida kwa RAIS yeyote anaweza kuvifanya.
Vitu hivyo haviwezi kamwe kuwafanya Wananchi wawakumbuke waliovijenga kwani ni vitu vya kawaida sana kifupi hivyo vitu haviwezi kuwa Legacy ya Mtu.
TUKIO PEKEE kwa sasa ili iwe Kumbukumbu ya kukumbukwa milele ikiwa sambamba na ya UHURU wa NCHI yetu ni KUWAPATIA WANANCHI KATIBA MPYA Mbadala wa KATIBA iliyopo KATIBA iliyopitwa na WAKATI KATIBA iliyojaa VIRAKA KATIBA yenye MAPUNGUFU mengi kwani ina zaidi ya MIAKA 58.
KIU ya WANANCHI kwa sasa ni UPATIKANAJI wa KATIBA MPYA hivyo RAIS atakayeweza kufanya HIVYO hakika Atakumbukwa MILELE Kama ilivyo kwa HAYATI Mwl. NYERERE.
Kitu pekee kinachomfanya Hayati BABA wa TAIFA Akumbukwe sio Barabara wala Hospital au Vyuo ni UHURU wa NCHI.
Mheshiwa Rais Mstaafu kikwete alijaribu kuwapatia WANANCHI KATIBA MPYA lakini hakufanikiwa
RAIS atakayefanikiwa hakika LEGACY yake itakumbukwa Milele. WANANCHI wanataka KATIBA MPYA.
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app