Naam dada
FaizaFoxy , mbona hutaki kuwa mkweli ndugu yangu?, Tanganyika ilikuwa tofauti sana na Kenya, Uganda na hata Zanzibar, Zanzibar ilikuwa ni nchi iliyokamilika kwa maana kila kitu kilikuwa kwenye mstari
Nyerere aliikuta Tanganyika iko hovyo na mgawanyiko usio wazi wa Kikanda, Kikabila, Kielimu, nk. Kwa kweli alikiwa na vitu vingi vya kufanya na kugusa, Tanganyika imepata uhuru huku kuna baadhi ya watu wanatembea uchi, wakati Zanzibar haikuwa hivyo
So Nyerere kama Binadamu hawezi kukosa mapungufu, lakini mapungufu yake ni machache na sioa fatal kama mazuri yake