Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

Kajifunze kuandika Kiingereza ndio uje nikuelewe unamaanisha nini.

Huo ndio msingi uliowekwa na Nyerere. Hujuwi Kiingereza na nna uhakika hata Kiswahili hukijui.


Muono -> Maono

Hata wewe hujui Kiswahili, ndio maana katika ule uzi wa Interview yako umechapia karibu kila neno na umerekebishwa sana na Hance Mtanashati mpaka ukakasirika.

Ila huku wajifanya wajua sana kuwakosoa wenzio. Na si mara moja umekuwa ukichemsha sana katika kuandika maneno ya lugha hii ya kiswahili.


Hivi huko Madrassat ulienda kusomea ujinga?
 
UKWELI NI KWAMBA....Hii vita ya hawa Walalamikaji wa kukunja miguu na kula wali wa manjano ni Vita ya KIDINI.

Kinachowauma ni kwakuwa J.K Nyerere alikuwa Mkristo na aliivunja EAMWS (ambayo ingetuharibia nchi na kutuletea ugaidi) tungeishi kama Somalia ya leo.

Dossa Aziz kama miongoni mwa waasisi wa TAA hakuwahi kuwa na shida na nyerere, Abdlwahid na Ally Sykes walijua kuwa Nyerere alikuwa kichwa hasa na ndio maana aliweza kuwamobilize Watanganyika na kuleta uhuru.

Tunajua hivi vilio vyenu vyooote vipo kidini zaidi, wakati ninyi mnang'ang'ana kushika juzuu Nyerere na Wakristo wengine walikuwa wanasoma Ilm Dunia iletayo ukombozi.

Ninyi mna chuki na UKATOLIKI wa Nyerere.

Kumlaumu Nyerere hapa ni sawa na kufikiri kuwa eti unatoa manukato ya udi yenye kunukia mpaka kwa jirani KUMBE ni unatoa ushuzi wa biriani ambao hautoki hata nje ya Baibui yako.
 
Hilo ni kosa kubwa sana kati ya makosa yaliyowahi kufanywa na kiongozi wa nchi. Usilitaje wala usilikumbushe.
Wacha kujitekenya kwapa kwa kutumia kipande cha chupa. Ni kosa kwa Waumi'nin wenzio tu ila si kwa Watanzania wenye akili timamu.

Lasivyo, tuwekee hapa makosa ya Azimio la Arusha.
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani? Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono? Tujadili.
Misingi iliwekwa dada FaizaFoxy. Kwa kifupi.....viongozi kuweka maslahi ya taifa mbele kuliko ubinafsi, viwanda (wewe dada wakumbuka kwenye hili, viatu vya bora, nguo kwa watoto, wakubwa na hasa kina mama), elimu, afya, miundombinu (kwa raia tulionawo), kutii sheria bila shuruti, siasa za kutofungamana na upande wowote, ustawi wa jamii na mengine kedekede..
Yaliendelea vizuri tu, ofcourse nayo yalihitaji kiongozi mwenye upeo kuyaendeleza yaliyowekwa na kuongezea mengine toka kwa aliyechukuwa udereva (KWA MASLAHI YA TAIFA).
Kilichotekea mwanzoni ilikuwa kama unafuu wa maisha kwa wananchi (Liberalisation of our Economy), ghafla mitumba ya kila aina ilimwagwa mtaani, kuanzia nguo za ndani mpaka magari! Ndiyo tujiulize FaizaFoxy, je kwa hili tuliendeleza viwanda vyetu? ule unafuu je ulitusaidia kwa muda mfupi au ndiyo ulituharibu kabisa?!
Haya yakaja mambo ya "kila kitu ruksa", ikawa balaa, haya ya Almasi, Dhahabu na madini mengine kupitishwa kama njugu Airport ilikuwa kawaida! Ikafika mpaka wanyama hai kusafirishwa Airpot kama sio watu kuwinda na SMG au AK47! Kupeana vitalu vya kuwinda hovyo hovyo tu, kwenye madini ndiyo usiombe!
Haya yote yaliyokuja kutokea kweli bado tumlaumu Mwl. Nyerere?!
Tukatoka hapo yakaanza ya viongozi kuwa na "Conflict of Interests" kwenye makampuni binafsi, safari na posho kusafiri kwenda nje bila mtu yoyote kuhoji, ni madili juu ya madili! Bado tumlaumu Baba wa Taifa?!
Mpaka pale tulipofikia wenye chama tawala wakaona "this is too much"..Maana ikafika watu wakiiba kwenye taasisi za umma walikuwa wakionekana ni mashujaa na "role models"! Na mtoto asipoiba ili afanikiwe hata wazazi walikuwa wakimtukana, mfano....huyu bwege yupo TRA miaka 5 hana nyumba wala gari! Madawa ya kulevya yalijaa mitaani mpaka tukawa na mini versions of "El Chapo" kama sio "Escobar"!
It was terrible, the "Cycle" had to end and we needed to reverse, by going back to basics..Tatizo wale waliofaidika ambao ni wachache hawataki kurudi kule, tumeanza the "the blaming game", kwamba maisha ni magumu sababu ya huyu, hela hakuna mifukoni sababu ya huyu, hakuna safari wala wizi wa kijinga sababu ya huyu mkatili, kila kitu tunamlaumu yeye huku tukisahau DINI zote zakemea yote yaliyofanywa huko nyuma hata kama hatutaka kufanya yale tulioachiwa na Mwl. Nyerere..
 

Muono -> Maono

Hata wewe hujui Kiswahili, ndio maana katika ule uzi wa Interview yako umechapia karibu kila neno na umerekebishwa sana na Hance Mtanashati mpaka ukakasirika.

Ila huku wajifanya wajua sana kuwakosoa wenzio. Na si mara moja umekuwa ukichemsha sana katika kuandika maneno ya lugha hii ya kiswahili.


Hivi huko Madrassat ulienda kusomea ujinga?
Hapo hajakosea neon sahihi ni MUONO na siyo MAONO
Ndiyo maana tuna MUONEKANO na MAONEKANO
Itakuwa na wewe Kanisa(seminary) imekupotoa kwenye lugha ya kiswahili
 
lakini tukubaliane kuwa nyerere hajatufikisha popote na kweli hakuwa na maono. ni kweli alijenga mshikamano wa kitaifa lakini kungine kote alikuwa anaendeshwa na emotions zaidi kul.iko kuangalia ahalisia wa mambo na dunia inakokwenda.
Kumlaumu J.K Nyerere
Hapo hajakosea neon sahihi ni MUONO na siyo MAONO
Ndiyo maana tuna MUONEKANO na MAONEKANO
Itakuwa na wewe Kanisa(seminary) imekupotoa kwenye lugha ya kiswahili
Kusudi lilikuwa ni "Maono",kwa kiingereza "Vision" na sio huo upupu mnaouandika.
 
Pole sana bwana mdogo. Najua bado unamaji miguuni. Ukiongezea na ugeni wa mwezi mmoja tu humu jamvini. Majibu yako tu yanaonyesha kipi kipo ndani ya cavarium yako.its brain placebo.
Sema lini tulitengana kikabila ugeni sio kwa wenye akili bali huwa ni upumbavu kwa anayejiona mwenyeji
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
WE HUJITAMBUI, RUDI SHULE...
 
UKWELI NI KWAMBA....Hii vita ya hawa Walalamikaji wa kukunja miguu na kula wali wa manjano ni Vita ya KIDINI.

Kinachowauma ni kwakuwa J.K Nyerere alikuwa Mkristo na aliivunja EAMWS (ambayo ingetuharibia nchi na kutuletea ugaidi) tungeishi kama Somalia ya leo.

Dossa Aziz kama miongoni mwa waasisi wa TAA hakuwahi kuwa na shida na nyerere, Abdlwahid na Ally Sykes walijua kuwa Nyerere alikuwa kichwa hasa na ndio maana aliweza kuwamobilize Watanganyika na kuleta uhuru.

Tunajua hivi vilio vyenu vyooote vipo kidini zaidi, wakati ninyi mnang'ang'ana kushika juzuu Nyerere na Wakristo wengine walikuwa wanasoma Ilm Dunia iletayo ukombozi.

Ninyi mna chuki na UKATOLIKI wa Nyerere.

Kumlaumu Nyerere hapa ni sawa na kufikiri kuwa eti unatoa manukato ya udi yenye kunukia mpaka kwa jirani KUMBE ni unatoa ushuzi wa biriani ambao hautoki hata nje ya Baibui yako.
Mkuu kinachoisumbua Nigeria leo hii ni matokeo ya misingi mibovu tangu enzi za kina Awolowo, Balewa na Azikiwe.

Waliukubali udini na ukabila, matokeo yake ugomvi wao wa kisiasa kwa sababu ya kupenda ukubwa na ukuu, ukawakasirisha wanajeshi ambao wakaona isiwe taabu, wakapindua nchi.

Mwalimu Nyerere aliona mbali pale alipoamua kuwashusha thamani machifu wa makabila yetu na kuvunja taasisi zote zenye mitizamo ya kidini.

Katika miaka ile ya 1950/60 Mwalimu tayari alikuwa anaiangalia Tanzania ya miaka ya sasa, a true visionary.

Kibinadamu alikuwa na makosa mengi tu, lakini kitendo cha kuiangalia Tanzania ambayo mhindi na mgogo wanasoma pamoja kuanzia la kwanza mpaka form six, kilikuwa ni kitendo chenye maono ya hali ya juu sana.

Ni kazi ya kina JPM na wanasiasa wa leo hii, kujenga uchumi wenye hadhi ya kushindana kimataifa. Kazi ya Mwalimu Nyerere ilimalizika katika kuleta uhuru na kujenga taifa lenye umoja.

Ukitaka kujua kama Mwalimu ni kichwa cha kiwango cha juu, fuatilia kwenye youtube uone namna ambavyo wasomi wa kinigeria kama Prof Chidi Odinkalu wanavyoiheshimu Tanzania kwa sababu tu ilitambua msisitizo wa umoja tangu miaka ya upatikanaji wa uhuru wa Afrika.
 
Mkuu kinachoisumbua Nigeria leo hii ni matokeo ya misingi mibovu tangu enzi za kina Awolowo, Balewa na Azikiwe.

Waliukubali udini na ukabila, matokeo yake ugomvi wao wa kisiasa kwa sababu ya kupenda ukubwa na ukuu, ukawakasirisha wanajeshi ambao wakaona isiwe taabu, wakapindua nchi.

Mwalimu Nyerere aliona mbali pale alipoamua kuwashusha thamani machifu wa makabila yetu na kuvunja taasisi zote zenye mitizamo ya kidini.

Katika miaka ile ya 1950/60 Mwalimu tayari alikuwa anaiangalia Tanzania ya miaka ya sasa, a true visionary.

Kibinadamu alikuwa na makosa mengi tu, lakini kitendo cha kuiangalia Tanzania ambayo mhindi na mgogo wanasoma pamoja kuanzia la kwanza mpaka form six, kilikuwa ni kitendo chenye maono ya hali ya juu sana.

Ni kazi ya kina JPM na wanasiasa wa leo hii, kujenga uchumi wenye hadhi ya kushindana kimataifa. Kazi ya Mwalimu Nyerere ilimalizika katika kuleta uhuru na kujenga taifa lenye umoja.

Ukitaka kujua kama Mwalimu ni kichwa cha kiwango cha juu, fuatilia kwenye youtube uone namna ambavyo wasomi wa kinigeria kama Prof Chidi Odinkalu wanavyoiheshimu Tanzania kwa sababu tu ilitambua msisitizo wa umoja tangu miaka ya upatikanaji wa uhuru wa Afrika.
Nigeria hakunaga wasomi kuna matapeli tu tafuta mfano kwingine
 
Nigeria hakunaga wasomi kuna matapeli tu tafuta mfano kwingine
Kabla hujawaangalia wanigeria wanaofanya utapeli kwingineko duniani, sio vibaya ukaitazama msingi wa nchi yenyewe.

Huo utapeli chanzo chake ni siasa mbovu zilizokuwepo huko kwao miaka ya 60. Walikosea misingi ambayo JKN aliipatia, ndio maana kuna taifa linaloitwa Tanzania, lenye kuheshimika duniani.
 
Hii mada ya msingi sana. Makosa ya serikali ya Mwl. Nyerere yapo mengi sana, na kuyajadili siyo kumkosea heshima bali ni kutafuta tulipojikwaa ili tuweze kusonga mbele.

Kwa mfano katioba inayolalamikiwa kila kukicha ni ya nani kama si Mwl.Nyerere?
Woga wa watanzania uliasisiwa na nani kama si Mwl. Nyerere? Rejea Azimio la Arusha, Ujamaa na kujitegemae
Hujumu uchumi iliyosababisha woga mkubwa wa kushiriki kwenye shughuli endelevu za kiuchumi zikisishirikisha wananchi uliasisiwa na nani?

Kukosoa si dhambi hata phelosophers kama akina Carl Max na Aristotle wanakosolewa.
 
Hebu fafanua tuijadili vizuri hapo kwenye red, mimi naanza halafu wewe pinga hoja zangu......tujadiliane.

-Madini
Alikuachieni tena kwa ahadi kwamba mtavuna mkiwa teyari

-Elimu
wakati wake JK Nyerere, japo walifaidika wachache lakini wote masikini kwa matajiri walisoma shule za aina moja na waliofaulu waliendelezwa mpaka mwisho, leo hii watu binadamu fedha, walalahoi shule za kata hakuna chochote....

-Dawa za kulevya,
Wakati wa nyerere mlipata kusikia ujinga wa madawa haya kama ilivyo sasa na jinsi watanzania wanavyoteketea?

-Afya,
Pamoja na uchache wa dhahati na vituo vya afya, ukienda kutibiwa unapata dawa za uhakika, bure wahudumu na madakitari walifundwa na walikuwa wazalendo wa kweli.

-Polisi, jeshi na usalama wa raia,
Wakati wa Nyerere vikosi hivi vilitawaliwa na nidhamu ya hali ya juu, uzalendo na ushilikiano kwa raia, walihifadhi siri za serikali kwa umakini mkubwa leo hii kila kitu ni upuuzi tu

-Mbuga za wanyama na maliasili

Mliwahi kusikia meli kusafilisha meno ya tembo?, Ndege kubebe twiga, Loliondo kupigwa mnada na akina Katabalo kuuwawa?

-Udini na mshikamano miongoni mwa raia wa tanzania
Mliwahikusikia watu kugawanyika kama ilivyo sasa kwa mitazamo ya udini, ukabila na ukanda? (Tulisifika duniani kote kwa jina moja - tuliitana Ndugu FaizaFoxy, Ndugu Red Giant nk)

Mnataka misingigani nyinyi??? unaweza kumpeleka punda hadi mtoni lakini jukum la kunywa au asinywe maji linabaki kuwa hiari yake sio mchungaji.
Mkuu hawa watu huwa hawasomi historia wala kufuatilia mambo,kwa wanaojua na kukumbuka mwalimu alisema yeye na serikali take hawakuwa malaika hivyo Luna maosa waliyafanya katika utawala wao.

Kwa wale waliufuatilia uchaguzi Wa 1995,mwalimu aliitisha press conference pale Kilimanjaro hotel,na alieleza kwa kirefu kuhusu nyufa kwenye nyumbani na namna ya kuzirekebisha hizo nyufa ili nyumba I we imara.
Tahadhali ya mwalimu juu ya kuchezea misingi ilipuuzwa na waliomfuata.
Mwalimu alisema kwao umifanya biashara basis uongozi Wa nchi na siasa zako,mwalimu alisema kwao fedha kwenye kugombea uongozi nilikuwa in disqualification kwa mgombea.
Sasa Leo ukisema mwalimu hakuweka misingi imara wakati wenyewe tunaibomoa no ukichaa,ukisema mwalimu hakutaadharisha juu ta matumizi ya hela na madhara take kwenye siasa in ukichaa,ukisema mwalimu hakutaadharisha kwamba Edward Lowassa hapaswi kupewa uongozi Wa juu Wa nchi ni ukichaa .
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
nyerere kajitahidi mengi kuliko wote walio tuongoza na kututawala

mosi,maono,alikuwa na maono mengi mno na kila kitu alikifanya kwa muda na malengo,mfano azimio la iringa siasa ni kilimo (mashamba darasa,zonation big 5,vyuo,ujenzi wa maghara nk)
pili,azimio la musoma,elimu kwa wote(tumeona elimu ya watu wazima,vyuo vya elimu,uandaaji walimu kwa muda mrefu na mfupi kwa malengo husika)
tatu,afya kuna miradi ya chakula bora,kupunguza maleria nk
nne ,elimu,vyuo na chuo kikuu,shule za ufundi nk
tano,maadili na uzalendo,hasa utunzanji na uendelezaji rasilimali za umma.
sita,mashirika ya umma km stamico,tanesko
saba,viwanda vya matairi,sukari,nk
nane,ulinzi na usalama na amani,mifumo na miundo ya jeshi,mafunzo nje na ndani,oipresheni ndani na nje ya nchi za kijeshi
tisa,maendeleo ya jamii,sido,vyuo vya maendelo ya jamii
kumi.diplomasia,heshma ya tanzania katika jumuia za kimataifa
je ukiangalia matumizi yake ya rasilimali na maendeleo aliyoyafanya una hisi yy au walio mfuata nani amekosea?je aliiba madini,je rushwa ilikuwaje?
 
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?

And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?

I am surprised what is really likable in your comments, other than you are entitled to your opinions. Nyerere is the source of the mess we are dealing with right now, and messes such as these can take even 100 years to clean up. Nyerere was alive until October 1999, and thus he had the oportunity to use his influence and leave his country with a better constitution, and not this single party constituion which helps keep the CCM party in power regardless of its performance and the satisfaction of the ruled.

The single-party constitution gives CCM a competitive advantage over its rivals in the multiparty system of today. Thus, the fact that Nyerere allowed this shows how selfish he was by puting the interests of his party above his country and people's interests. He was selfish and short sighted. He could prove how "baba wa taifa" he was by puting taifa first not his party because that is what the title calls for. Of course, his (Nyerere) successors have the moral responsibility to change things and put the interests of the nation first.

However, the stated above is very unlikely because the sin of selfishness planted by Nyerere is perpetuating their selfish behavior as a party (CCM). We as the people need to decide, say "enough is enough", and demand what we know is best for the country (i.e., a new constititution as proposed by "Tume ya Warioba" which includes independent parliament, judiciary, etc...)
 
Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe.

Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kambarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?

Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?

Tujadili.
 
Back
Top Bottom