Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 826
- 296
kilazaHakuna siku nchi inayoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapata Rais mwingine wa KWANZA.
kilazaHakuna siku nchi inayoitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapata Rais mwingine wa KWANZA.
Na babaako alikuwa mmoja wa wasaidizi wa karibu wa nyerere. Ni mmoja wa waliochangia uharibifu kwa kushindwa kumsaidia ilivyopasa.Naam, tunataka tuyachambue hayo ya kijinga ili tusirudie makosa. Maana naona imefikia mpaka yale ambayo hata mwenyewe alikiri ni "ya kijinga" sisi tunayakumbatia.
Na babaako alikuwa mmoja wa wasaidizi wa karibu wa nyerere. Ni mmoja wa waliochangia uharibifu kwa kushindwa kumsaidia ilivyopasa.
Uongo unakatazwa kwa waislamu, labda kama hiyo exposure imekusukumia kwenye ukafiri.Si kweli, babangu hajawahi kufanya kazi serikalini.
labda unawategemea wewe. mimi naishi Vietnam.Ndivyo ulivyojazwa ujinga. Sikushangai.
Sasa fikiri, haohao unaosema wezi (nchi za kibepari) ndiyo tunawategemea watujazie kwa kutuchangia bajeti ya nchi yetu. Kulikoni?
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?
Nna=ninaKajifunze kuandika Kiingereza ndio uje nikuelewe una maanisha nini.
Huo ndio msingi uliowekwa na Nyerere. Hujuwi Kiingereza na nna uhakika hata Kiswahili hukijui.
Hoja yako hapa siokufundisha wachangiaji lugha, jibu hoja zetu tukitaka lugha tutaenda darasani
Katika mambo yote nitamlaumu nyerere kwa kulimbikiza madaraka mengi kwa raisi kiac kwamba raisi Tanzanis ni kama mungu mtu.
Si kweli, Kikwete ameacha nchi ina zaidi cubic feet trillion 15 za gas, utajiri wa ajabu.
Ameacha tuna akiba hazina kuliko wakati wowote wa kabla yake.
Ameacha nchi ina maghala ya taifa ya hifadhi ya chakula kingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha Tanzania inatowa misaada ya chakula kwa nchi jirani.
Ameacha nchi ina barabara za lami nyingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina shule nyingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina vyuo vikuu vingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina pato la utalii kubwa kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina umeme mwingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi inafanya upasuaji wa moyo hapa hapa nyumbani, hakuna kabla yake.
Niendelee?
Kwa kweli FaizaFoxy leo hii ukimleta Mwl. Nyerere agombee uraisi dhidi ya Mwinyi, Mkapa, Kikwete au hata Magufuli, Mwl. Nyerere atapita kwa kura nyingi mno, mimi mmoja wapo wakumpigia.
Legacy zake ni nyingi kwa kweli, na tulipotupa kule madhara yake ndio haya tunayoyaona :-
Na mengi mengineo, kwa kweli huyu mzee (Mwl. Nyerere) alikuwa wa kipekee..
- Uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya, na cha kushangaza mpaka viongozi wa vyama vyote kudaiwa kuhusika
- Wizi, ufisadi, ubinafsi, ulafi na ufujaji wa mali za umma
- Kupendeleana kwa sababu za kidini na za kikabila.
- Kutokuwajibika, hata kama serikali imekusomesha na kukufikisha hapo, kusoma tu na kukosoa mikataba kwa manufaa ya umma hakuna, tumeisahau nchi, tumbo na familia zetu kwanza.
- Kutokufuata sheria bila shuruti, zamani ilikuwa na ajabu na kwa nadra kuona bastola zatolewa nje nje au hata askari kutembea na SMG mtaani, au kupiga tu risasi.
- Kufoji foji makaratasi na maombi yawe ya kutaka kusafiri au kutibiwa serikalini, ni kinyaa, hapa kidogo kumepunguwa.
- Viongozi kusafiri safiri kila wakati kisingizio wamebeba bakuli la kuomba hela kwa wazungu au nchi zilizoendelea, kumbe wanakoenda wana yao.
- Udini kushika hatamu.
- Utakatishaji wa fedha za umma, kina mzee wa vijisenti, huyu mzee siku nyingi angekuwa ananyea debe na mali zote kufilisiwa.
- Utajiri usiokifani na usio jibu maswali ya upatikanaji wake, kina Rostam, Lowassa na wengine wengi tu
- Kuzorota kwa elimu, ustawi wa jamii na afya, wahusika hata hawaeleweki wanafanya nini?! Shaghalabagala..
- ..
- ..
Si kweli, Kikwete ameacha nchi ina zaidi cubic feet trillion 15 za gas, utajiri wa ajabu.
Ameacha tuna akiba hazina kuliko wakati wowote wa kabla yake.
Ameacha nchi ina maghala ya taifa ya hifadhi ya chakula kingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha Tanzania inatowa misaada ya chakula kwa nchi jirani.
Ameacha nchi ina barabara za lami nyingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina shule nyingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina vyuo vikuu vingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina pato la utalii kubwa kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi ina umeme mwingi kuliko wakati wowote ule wa kabla yake.
Ameacha nchi inafanya upasuaji wa moyo hapa hapa nyumbani, hakuna kabla yake.
Niendelee?
Nchi zote za Afrika baada ya kupata uhuru tuliendelea na katiba AMBAYO ilikuwa imempa wakati huo governor mamlaka yote. Katiba zimebadilika, Ghana wana katiba mpya, Rais hana mamlaka yote. Kenya katiba imebadilishwa, Kenyatta anapingwa kila siku maamuzi yote nje ya katiba. Hata hivyo Afrika tuna shida kubwa ya kuvunja sheria, hata kam
Hayo yote unasema Kikwete kaacha unayaona wewe, pengine tuonyeshe kule ameficha. Mimi ninavyojuwa Kikwete ameacha madeni kibao, Rais Magufuli amechukua nchi hata mishara ya wafanyakazi wa serikali ya mwezi huo kulikuwa hakuna. Kikwete ameacha nchi ikatafunwa na kuwachwa mifupa mitupu. Kuna watu waliofaidi kwenye utawala wa Kikwete, ni wapiga dili.
Shule unazosema ameacha Kikwete ni shule duni, zenyekutowa mafunzo duni. Wengi wa shule si kitu kama hazitowi quality education. Kikwete kwa miaka kumi angefanya mengi, lakini ameacha taifa lisilokuwa na nidhamu.
Kikwete ameacha wangojwa wanalala chini, ushahidi Magufuli alipotembelea Muhimbili, Kikwete aliendelea kuijenga Appolo hospital ya India iliyokuwa ikitibu wachache awapendao. Kikwete aliiachia nchi ikawa Soko la madawa, alipewa lisiti wanaohusika akaondoka nayo kibindoni, bila ya kuchukua hatua.
Kikwete aliikabithi nchi kwa mafisadi, bandarini mizigo ikipita bila ya kodi. Wizi wa ajabu wa fedha za walipa kodi, Hakuna , waliokuwa chukuliwa hatua, waliokuwa wakifungwa ni petty criminals watu wenye kuiba mandazi kwa kuwa wana njaa.
Safari za Kikwete pekee zimaacha deni kubwa. Fedha hizo zingejenga, hospitali na kuimprove maisha ya Watanzania. Watanzania walikuwa wakiishi kwenye false economy, gharama za nyumba haswa Dar es salaam zilifikia mamilioni, bei Mtanzania wa kawaida asingeweza kununuwa, waliokuwa wakinunuwa ni wapiga dili kwa pesa za serikali ambazo badala ya kuwa huduma wananchi, zilikuwa zikitumiwa na wachache. Mwenye kusifu uongozi wa Kikwete hajui haki ni kitu gani. Kikwete ameiacha nchi mifupa mitupu. Ingekuwa ni South Korea leo Kikwete angekuwa chini ya ulinzi, lakini Afrika pension inamungoja ingawaje hahitaji kwa utajiri inasemekana alionawo..
Hii ni moja wapo ya threads za kipuuzi kabisa kuwahi kuziona humu jamvini.Nchi hii ilikosa misingi ya kuifikisha ipasapo ilipokabidhiwa madaraka ya kujiendesha yenyewe. Kumbuka, hatukupewa Uhuru, kwani mwaka 1961 tulikuwa hatutawaliwi.
Aliyeshindwa kuweka hiyo misingi imara ni Julius Kmabarage Nyerere. Jee, tumlaumu kwa kuwa alikuwa hana uzoefu wa kuongoza? au tumlaumu kwa kuwa alikuwa akiendeshwa na waliomuweka madarakani?
Nyerere alishindwa kuweka misingi imara na ndio maana kila alichokifanya nchini kikashindwa au alikuwa hajui kuwa kila alifanyalo ni kosa mbeleni? alikuwa hana muono?
Tujadili.
Naamini kwamba kosa kubwa la Mwalimu Nyerere ni katika Namna ya kupata viongozi...Ali tumia zaidi utashi wake kuliko misingi na madhara yake yameendelea hadi leoMimi nadhani kosa lao kubwa lilikuwa kumpa 100% trust Nyerere.