Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,267
- 5,665
hayupo ila mawazo yake yanaishi,na ndio maana mpaka leo kila mwanasiasa hajiamini ila anamwamini yeye,ndio maana kaitwa baba wa taifa,kila mmoja anasema Laiti angekuwepo Nyerere sijui kama hiki angekubali,yaani tumemsukumia kila kitu yeye,mfano mzuri masuala ya Muungano hakuna hata mwanasiasa mmoja aliye tayari kurekebisha kasoro za muungano kisa tuu Mwalimu alisema mambo fulani juu ya muungano,sasa sijui mpaka lini hali hii?He has been died for a long time now, and he has been out of power for even longer. So, hayo makosa yake yanasubiri afufuke ili yarekebishwe?
And why are you so obsessed with someone who has been out of power - and this world - that much? Kwa nini usituambie tujadili yanayofanywa leo na walio madarakani leo hii ambapo kila kukicha ni bora ya jana?