Nyani Ngabu na Yo Yo enzi zao...

Nyani Ngabu na Yo Yo enzi zao...

Status
Not open for further replies.
333evlc.jpg


Hapo juu ni Yo Yo akiwa kwenye pozi la picha.

Chini ni Nyani Ngabu (katikati) akiwa kwenye pozi la picha.

20z8uvt.jpg

wapiii? Yoyo enzi za bugaluu ulikuwepo? suruali ya kirimplini, Nyani Ngabu, msurupwete! na mkononi 3 in 1, lol.
 
Nakumbuka enzi hizo ukimtongoza mwanamke lazima ubebe mkanda wa video UHV na magazezi ya Mfanyakazi
 
hihihihihihihi aiseee nimecheka ile mbaya.....hili shati na mkoba masharobaro ndio wanaanza kuzivaa siku hizi...

loh guys! mecheka sana! hasa huo mkaptula wa NGABU..maweee...utadhani ako na ngiri maji! U made ma day INVIZIBO

Hii balaa.. hapa nadhani no one hit ilikuwa ''Sussudio'' By Phil Collins
Lengo lilikuwa ni kuwakumbusha tulikotoka. Mengine sasa ndo yanajirudia, na vijana wanajiita 'wa kisasa'!
Nakumbuka enzi hizo ukimtongoza mwanamke lazima ubebe mkanda wa video UHV na magazezi ya Mfanyakazi
Nadhani kama niko sahihi enzi hizi hatukuwa na mikanda ya video.
 
Duh nimecheka mpaka basi. Hiyo suruwali ya NN inaitwa KABOKA. Oooh Mr Yo Yo raizoni ghorofa mbili.
 
Lengo lilikuwa ni kuwakumbusha tulikotoka. Mengine sasa ndo yanajirudia, na vijana wanajiita 'wa kisasa'!

Nadhani kama niko sahihi enzi hizi hatukuwa na mikanda ya video.

Invisible, hivi unawajua kina Jimmy kerry, James Bond, Amita Bachann, Ranjit, Deni? Mwaka 1979 nyumba kwetu kuna video tunaangalia mikanda ya video, labda kwenu ndiyo kulikuwa hakuna mikanda ya video, si unajua tena tumetoka sehemu tofauti tofauti
 
Invisible, hivi unawajua kina Jimmy kerry, James Bond, Amita Bachann, Ranjit, Deni? Mwaka 1979 nyumba kwetu kuna video tunaangalia mikanda ya video, labda kwenu ndiyo kulikuwa hakuna mikanda ya video, si unajua tena tumetoka sehemu tofauti tofauti

mmmh! mpo juu!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom