Nuru Ilikuwepo hata Kabla Ya Jua, Nini Source yake?

Nuru Ilikuwepo hata Kabla Ya Jua, Nini Source yake?

Yeah...kama quran ilivyokuja rudiarudia yaliyo andikwa kwenye biblia,...sema wakaongeza madoido ya kuimba kwa mashairi lakn hamna kitu kipya kwenye quran zaidi ya copy and paste ya bible,....uislam na quran ni vya juzi tu

Source; akili yako ya darasa la pili
 
Dini ni kongwe zaidi ya sayans, kwaio sayans imekuja kurudiarudia tu mambo ambayo yalishatajwa ndani ya quran tangia karne ya tano

Siyo tu kuyarudia. Ni kuyafanyia kazi ili kuboresha maisha hapa duniani japo sayansi au dini vikitumika vibaya vinawezakuwa na madhara yake.
By the way binadamu amekuwa akitumia sayansi tangu alipoanza kuishi hapa duniani kwahiyo si rahisi kusema kipi kilitangulia kuwepo.
 
Siyo tu kuyarudia. Ni kuyafanyia kazi ili kuboresha maisha hapa duniani japo sayansi au dini vikitumika vibaya vinawezakuwa na madhara yake.
By the way binadamu amekuwa akitumia sayansi tangu alipoanza kuishi hapa duniani kwahiyo si rahisi kusema kipi kilitangulia kuwepo.


Watakuambia uislam ulikuwepo tangu enzi na enzi,......kweli dini ni ulevi
 
Source; akili yako ya darasa la pili

Source ya nini mkuu,...hebu nipe ushahidi wa mtume mohamed alizaliwa na kufa lini mkuu...maake huyu jamaa ndio alileta huu utaratibu wa waarabu ingawa waafrika tunautolea mapovu
 
Heri ya mwaka mpya 2014.
Tumerudi tena mdau. Ha ha haaa!

yeah,........wapi kiranga,moshdar,introvert,bwaxxlo,nyani ngabu & co........vs mgeni,eiyer,maxshimba,ally kombo,gavana & co
 
[/COLOR]

Watakuambia uislam ulikuwepo tangu enzi na enzi,......kweli dini ni ulevi

Ukweli ni kwamba hata ugunduzi wa moto ilikuwa sayansi tosha na ni kati ya vumbuzi kubwa pengine hata kuliko computer. Kwahiyo bado ni ngumu kusema sayansi ilianza lini, vivyo hivyo kwa upande wa dini.
 
Huu ni muujiza ambao utabakia kuwa kitendawili mpaka mwisho wa hii dunia,such a big thing just hanging in the air with everything in it very well organized,surrounded by the Sun,Moon,Stars and Clouds,HE IS THE GREATEST OF ALL!!!!:A S crown-1:
 
Huu ni muujiza ambao utabakia kuwa kitendawili mpaka mwisho wa hii dunia,such a big thing just hanging in the air with everything in it very well organized,surrounded by the Sun,Moon,Stars and Clouds,HE IS THE GREATEST OF ALL!!!!:A S crown-1:

who is this....?
 
Source ya nini mkuu,...hebu nipe ushahidi wa mtume mohamed alizaliwa na kufa lini mkuu...maake huyu jamaa ndio alileta huu utaratibu wa waarabu ingawa waafrika tunautolea mapovu

Mkuu ukiniuliza alizaliwa lini me nitajibu Jumatatu. Kwenye uislam tarehe sahihi ya tukio huo haizingatiwi sana, chakuzingatia ni Muhammad (s.a.w) alizaliwa na alikua ni rehma kwa wote
 
A grat lump, and a moon giving light; sijaona sehem iliyoandikwa A great lump giving light and a moon reflecting. Naona unajaribu kuforce tafsiri.
Madrasa yako ndiyo imekufundisha kumfananisha Mungu wako na Malkia?
Tatizo lenu kiingereza hamjui na kiswahili hamjui. Haya tafsiri halisi inasomeka hivi "...Yeye(Mwenyezimungu) ndiye aliyelijaalia jua kuwa na mwangaza, na mwezi ukawa na nuru, na akaupimia vituo ili mjue idadi ya miaka na hisabu. Mwenyezimungu hakuviumba hivyo ila kwa haki: Anazipambanua ishara kwa watu wanaojua(Qur'an 10.5). Lisikudanganye neno light. Nadhani hofu yako itakuwa imejibiwa
 

"Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu." (24:35)

Rudia kuisoma aya hiyo, plz

Ni kweli mkuu Mipangomingi, nuru iliyotumika hapo ni nuru yenye maana ya kipambanuzi, kibainishi/mwelekeo sahihi, si nuru ya mwangaza wa Jua au mwezi. Ndio maana hapo kwenye red, Mwenyezimungu amebainisha kuwa huwa anatumia mifano katika kuelezea jambo.

Aidha, Aya ambayo nahisi iko direct na anachotaka kujua mleta mada ni Aya ifuatayo katika Surat Al-Anaam
"......(Mwenyezi Mungu) ndiye anaye pambazua mwangaza wa asubuhi; na ameufanya usiku kwa mapumziko na utulivu, na jua na mwezi kwenda kwa hisabu. Hayo ni makadirio ya Aliye tukuka Mwenyezi nguvu, Mwenye ujuzi." (Al Anaam: 96):
Allahu Alam.
 
"Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu." (24:35)



Ni kweli mkuu Mipangomingi, nuru iliyotumika hapo ni nuru yenye maana ya kipambanuzi, kibainishi/mwelekeo sahihi, si nuru ya mwangaza wa Jua au mwezi. Ndio maana hapo kwenye red, Mwenyezimungu amebainisha kuwa huwa anatumia mifano katika kuelezea jambo.

Aidha, Aya ambayo nahisi iko direct na anachotaka kujua mleta mada ni Aya ifuatayo katika Surat Al-Anaam
"......(Mwenyezi Mungu) ndiye anaye pambazua mwangaza wa asubuhi; na ameufanya usiku kwa mapumziko na utulivu, na jua na mwezi kwenda kwa hisabu. Hayo ni makadirio ya Aliye tukuka Mwenyezi nguvu, Mwenye ujuzi." (Al Anaam: 96):
Allahu Alam.

Asante mkuu Zizzou, Mungu akuzidishie
 
Kijiografia inajulikana kuwa

The Islamic year has twelve months that are based on a lunar cycle. Allah says in the Qur'an:
"The number of months in the sight of Allah is twelve (in a year) - so ordained by Him the day He created the heavens and the earth...." (9:36). "It is He Who made the sun to be a shining glory, and the moon to be a light of beauty, and measured out stages for it, that you might know the number of years and the count of time. Allah did not create this except in truth and righteousness. And He explains His signs in detail, for those who understand" (10:5).
images




 
Hiyo nuru ipo giza ni totoro sana lakini kunaweza kukawa hakuna mbalamwezi wala taa lakini ukawa unaona mbele na kutambua,hiyo nuru iliwekwa ili kutenga usiku na mchana lakini baadae MUNGU akaonelea atengeneze jua kuangaza dunia.

Note: nuru ilikuwa ni ya kutenga usiku na mchana ila jua lilikuwa ni kuangaza.hiyo nuru ipo lakini sio angavu kama ya jua.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu hapa ulimaanisha nini?
 
Back
Top Bottom