uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,073
- 10,159
Kijiografia inajulikana kuwa
Kwa maana ya kuwa jua ndiyo chanzo kikubwa cha mwanga wa duniani na joto vilevile,
Nimekuwa nikijiuliza source nyingine ya Nuru ni ipi? tofauti na jua?
Nuru ilikuwapo kabla ya jua!! source yake ni nini?
Hii ya kuwepo Nuru kabla ya jua nimeipata kutoka
Genesis Chapter 1:3
this proves that light was created before The Sun..
Jua linakuja kuumbwa siku ya nne
Genesis 1:14
Thats is from the Holy Book. Bible
Naamini humu ndani kuna wataalamu sana wanaoweza kuja hapa
na tukajadiliana kwa hoja..
The Sun as a star is the source of all light and heat on the earth....
Kwa maana ya kuwa jua ndiyo chanzo kikubwa cha mwanga wa duniani na joto vilevile,
Nimekuwa nikijiuliza source nyingine ya Nuru ni ipi? tofauti na jua?
Nuru ilikuwapo kabla ya jua!! source yake ni nini?
Hii ya kuwepo Nuru kabla ya jua nimeipata kutoka
Genesis Chapter 1:3
And God said "let there be light" and there was light......the first day
this proves that light was created before The Sun..
Jua linakuja kuumbwa siku ya nne
Genesis 1:14
And God said let there be lights in the vault of the sky to separate the day from
the night, and let them serve as signs to mark sacred times, and days and years...........the forth day
Thats is from the Holy Book. Bible
Naamini humu ndani kuna wataalamu sana wanaoweza kuja hapa
na tukajadiliana kwa hoja..