Nuru Ilikuwepo hata Kabla Ya Jua, Nini Source yake?

Nuru Ilikuwepo hata Kabla Ya Jua, Nini Source yake?

Mahali popote kwenye biblia ukikuta Mungu mwenyewe ndo anaongea au Yesu anaongea, then take it very careful kwani in most case huwa ni cryptic au coded messege lakini in real sense alitenga katika ulimwengu wa mawazo/ fikra alitenganisha mambo mema kutoka katika maovu
Kwa hiyo kuupata ujumbe wa Mungu lazima uwe "code breaker" ?

Kuna mambo hayaingii akilini hata kiduchu kwa mwenye kufikiri.
 
Yeah...kama quran ilivyokuja rudiarudia yaliyo andikwa kwenye biblia,...sema wakaongeza madoido ya kuimba kwa mashairi lakn hamna kitu kipya kwenye quran zaidi ya copy and paste ya bible,....uislam na quran ni vya juzi tu
karne ya tano ni juzi mkuu?
 
Dini ipi unayosema ni kongwe kuliko sayansi mkuu,...maake uislam ni wa juzi sana ingawa mnajifanya vichwa ngumu(hamanazo) kusema hata adam na hawa walikuwa waislam...kweli inahitaji ujuha wa hali ya kuamini haya mambo.
 
Kwa hiyo kuupata ujumbe wa Mungu lazima uwe "code breaker" ?

Kuna mambo hayaingii akilini hata kiduchu kwa mwenye kufikiri.
Nimejikuta nasoma hii mada japokuwa imeletwa hapa siku za nyuma kidogo..
Dada Faiza nimesoma pia mtazamo wako na kuihusisha nuru hiyo na Qur'an hivi, jua likipotea nyota na mwezi pia. Nuru itakuwepo?
 
Nimejikuta nasoma hii mada japokuwa imeletwa hapa siku za nyuma kidogo..
Dada Faiza nimesoma pia mtazamo wako na kuihusisha nuru hiyo na Qur'an hivi, jua likipotea nyota na mwezi pia. Nuru itakuwepo?
Fata link iliyowekwa post namba 3, ina majibu ya swali lako.
 
Mwanzo 1:1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia.Mbingu hapa ni Universe au Space.Jua liliumbwa mapema kabla hata dunia kuumbwa.ILA NURU YA JUA HAIKUWA IKIFIKA DUNIANI.
 
Kuhusu Nuru, kuna vitu vingi vinatoa nuru mbali na jua au mwezi, mfano wadudu nao wanatoa nuru, nasikia pia macho ya baadhi ya wanyama pia wakati wa usiku hutoa pia nuru, nasisi binadamu tumetengeneza baadhi ya vifaa vinavyotoa nuru kama tochi, kuwasha moto nk.

Kwa hiyo vitu hapo kazi yake ni kuzalisha nuru ambayo imeumbwa tayari.

NB: Kuna vitu vingine wana sayansi hawataweza kuvithibitisha mpaka mwisho wa dunia.
Mfano
Siku wa mwisho yaani Kiama, uwepo wa roho katika mwili wa mwanadamu, uwepo wa Mungu.
Lakini kushindwa huko haimanishi kuwa havipo, labda kwa wale wapagani ambao wanasema hakuna maisha baada ya kufa.
 
NB. MAADA HII NI YA KIROHO ZAIDI. KWA MAANA HIYO MAJIBU HAYA YATAELEWEKA VIZURI SANA KWA WALE WA KIROHO. ILA YATALETA CONTRADICTIONS NYINGI KWA WATU SAWASIO WA KIROHO.

kama ilivyo andikwa "Mtu ambaye hana Roho wa Mungu hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa jinsi ya rohoni. (1wakorintho 2:14)

so SOMA VIZURI HII... NIME-COPY and paste FROM MWALIMU Mgisa Mtebe

INDRODUCTION​

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Vitu visivyoonekana (ulimwengu wa kiroho) - the imaterial things
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Vitu vinavyoonekana (the universe) -the physical world
Na vyote viko kwa pamoja

1. Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika. (Waebrania 11:3) &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)'

Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).

2. Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una pande mbili. Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!(2Wakorintho 4:18)

3. Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

1Wakorintho 15:44 "Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo"

4. Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.

BAADA YA HAPA NOW UNAWEZA KUELEWA YAFUATAYO.

UKISOMA VIZURI Mwanzo 1:1-5, 14-19 UTAGUNDUA HAYA YAFUATAYO

1. Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!

2. Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza ulimwenguni, bali jua ni "kibebeo" tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.

3. Nuru - to- Jua - to- Mwanga
(Yesu/Neno)Yoh 1:7-9

4. Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangaza duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika ulimwengu wa roho.

5. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

6. Hii ina maana kwamba; Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwa hiyo, Kanuni za Kiroho ndizo zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.

7. Hii ina maana kwamba; Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.

8. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

9. Yohana 5:12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, "Mimi ni Nuru ya ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima."

10. Yohana 3:16-20, mstari wa 19 unasema "Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu"

11. Nuru produced Jua , and jua produced Mwanga
(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9

12. Luka 4:1-4 "Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana". kwahiyo its from Neno to Mkate to Afya. Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
The best comment
 
NB. MAADA HII NI YA KIROHO ZAIDI. KWA MAANA HIYO MAJIBU HAYA YATAELEWEKA VIZURI SANA KWA WALE WA KIROHO. ILA YATALETA CONTRADICTIONS NYINGI KWA WATU SAWASIO WA KIROHO.

kama ilivyo andikwa "Mtu ambaye hana Roho wa Mungu hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa jinsi ya rohoni. (1wakorintho 2:14)

so SOMA VIZURI HII... NIME-COPY and paste FROM MWALIMU Mgisa Mtebe

INDRODUCTION​

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Vitu visivyoonekana (ulimwengu wa kiroho) - the imaterial things
&[HASHTAG]#8226[/HASHTAG]; Vitu vinavyoonekana (the universe) -the physical world
Na vyote viko kwa pamoja

1. Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika. (Waebrania 11:3) &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (wazi wazi)'

Wakorintho 4:18 Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana (yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu (vinavyotawala vya kimwili).

2. Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni ulimwengu mmoja, ila una pande mbili. Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!(2Wakorintho 4:18)

3. Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

1Wakorintho 15:44 "Ikiwa kuna mwili wa asili, Basi na mwili wa roho pia, upo"

4. Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri limeanza leo, hapana; Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa zilizopita.

BAADA YA HAPA NOW UNAWEZA KUELEWA YAFUATAYO.

UKISOMA VIZURI Mwanzo 1:1-5, 14-19 UTAGUNDUA HAYA YAFUATAYO

1. Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi, kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!

2. Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza ulimwenguni, bali jua ni "kibebeo" tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.

3. Nuru - to- Jua - to- Mwanga
(Yesu/Neno)Yoh 1:7-9

4. Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangaza duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika ulimwengu wa roho.

5. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

6. Hii ina maana kwamba; Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwa hiyo, Kanuni za Kiroho ndizo zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.

7. Hii ina maana kwamba; Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.

8. Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

9. Yohana 5:12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, "Mimi ni Nuru ya ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima."

10. Yohana 3:16-20, mstari wa 19 unasema "Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu"

11. Nuru produced Jua , and jua produced Mwanga
(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9

12. Luka 4:1-4 "Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana". kwahiyo its from Neno to Mkate to Afya. Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
Utambuzibwako unaendeshwa na ubongo kwa kuitumia nishati ya akiri, maamuzi yakoyanatekelezwa na mwili, nini unachoweza kufanya kwa roho, bila kutumia akiri ama mwili?

Na kama kuna vitu "Tofauti" viwili Utendaji wa mwili na utendaji wa roho, ni kitu gani unaweza kutekeleza kikakamilika kinachoelezeka kilichotekelezwa na utendahi wa kiroho?

Na kama vitu hivyo ni tofauti kwa nini bado hata unapofikisha ujumbe hauufikishi ki roho?

Na kama inavyosemekana kwamba kuna majini au mapepo, ambayo hayaonekani kibinadamu, je kuna mawasiliano ya kiroho baina ya binadamu na majini hayo?

Na kama yapo mawasiliano ya kiroho baina ya majini na wanadamu, binadamu anayajuaje kiasi cha kuyaelezea ki binadamu wakati hawezi kutoa ushahidi wa vielelezo?

Napata maswali mengi saaaana!
Ebu nijibu haya kwanza

Hiyo nuru ipo giza ni totoro sana lakini kunaweza kukawa hakuna mbalamwezi wala taa lakini ukawa unaona mbele na kutambua,hiyo nuru iliwekwa ili kutenga usiku na mchana lakini baadae MUNGU akaonelea atengeneze jua kuangaza dunia.

Note: nuru ilikuwa ni ya kutenga usiku na mchana ila jua lilikuwa ni kuangaza.hiyo nuru ipo lakini sio angavu kama ya jua.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
sijaona jibu la moja kwa moja!!!
Walishatuchanganya kwa vitu hivi,
ni usumbu wa akiri tu wala usio na mwelekeo

Hakuna lolote hapo, Huwezi kuweka watoto mahala halafu ukawapa vitu wasivyovielewa ili wavifanye unavyotaka wewe wakati unajua kabisa kwamba hawavijui, hata

ukijaribu kuwapa maelekezo eti unayatoa kwa mafumbo mafumbo tu, Huu ni upuuzi wenye jina Kubwa Duniani kuliko chochote
 
Vitu visivyoonekana vinamhusuje mtu anaeonekana?

Kama vina msaada na roho ya marehemu (kama wanavyosema kwamba roho ya binadamu haifi) si vingetakiwa kuanza kumhusu baada ya kubaki katika roho tu?
 
Vitu visivyoonekana vinamhusuje mtu anaeonekana?

Kama vina msaada na roho ya marehemu (kama wanavyosema kwamba roho ya binadamu haifi) si vingetakiwa kuanza kumhusu baada ya kubaki katika roho tu?
Sijaelewa hapa mkuu
 
Walishatuchanganya kwa vitu hivi,
ni usumbu wa akiri tu wala usio na mwelekeo

Hakuna lolote hapo, Huwezi kuweka watoto mahala halafu ukawapa vitu wasivyovielewa ili wavifanye unavyotaka wewe wakati unajua kabisa kwamba hawavijui, hata

ukijaribu kuwapa maelekezo eti unayatoa kwa mafumbo mafumbo tu, Huu ni upuuzi wenye jina Kubwa Duniani kuliko chochote
Mafumbo mafumbo? Ni njia moja wapo
Walishatuchanganya kwa vitu hivi,
ni usumbu wa akiri tu wala usio na mwelekeo

Hakuna lolote hapo, Huwezi kuweka watoto mahala halafu ukawapa vitu wasivyovielewa ili wavifanye unavyotaka wewe wakati unajua kabisa kwamba hawavijui, hata

ukijaribu kuwapa maelekezo eti unayatoa kwa mafumbo mafumbo tu, Huu ni upuuzi wenye jina Kubwa Duniani kuliko chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom