Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
nkiki kyalema tse lanye...ke ngiwia !!kyalema meku....
nkiki kyalema tse lanye...ke ngiwia !!kyalema meku....
Kwa hiyo unataka kusema yaeda tetroni sio?unataka kusema hii itakuwa leo leo....precision...? ngicha....
Ukipata mpenzi mpya, usianze kupigia watu kelele ukihisi unadate malaika......malaika wote wapo mbinguni hakuna anayeishi Yaeda Chini.....usidhani huyo ni bora kuliko uliyemuacha....ni kuvumiliana tu....
Ukiuza paka wako wa nyumbani...ukanunua mbwa.....there is no progress....they are all domestic animals....
sawa jamani....?
we huwa unakelele ukipata ngoma mpya.......?
Hii ndio ngoma aliyokuwa ameisindikiza Kamanda Barlow saa 8 usiku nyumbani kwake!! eti huyu ni Mwalimi kha!!unaweza kukuta ni jehanamu kuliko ulikotoka atiii
kwikwikwiwkiwkwikwiwwkm leo vipi shostUkipata mpenzi mpya, usianze kupigia watu kelele ukihisi unadate malaika......malaika wote wapo mbinguni hakuna anayeishi Yaeda Chini.....usidhani huyo ni bora kuliko uliyemuacha....ni kuvumiliana tu....
Ukiuza paka wako wa nyumbani...ukanunua mbwa.....there is no progress....they are all domestic animals....
sawa jamani....?
sio tu mwalimu sema mwalimu wa shule ya msingiHii ndio ngoma aliyokuwa ameisindikiza Kamanda Barlow saa 8 usiku nyumbani kwake!! eti huyu ni Mwalimi kha!!
alafu leo umeshapokea like zangu nying wewe sikupi tena ,mpaka mwaka uishe hasira yako ua wale jamaa wa mbagala imeisha ????????????dunia ya Mungu ,utajiri ni wa wazungu
samba maako.nkitangama kyansirekyalema meku....
Hommie ni upepo tu utapita :lol::lol::eyebrows:Hommie kuna nini hapa?
Ukiwa na mwanamke mwenye matatizo kama umejitwisha gunia la miba au misumari ukafanikiwa kulitua na kupata mwanamke afadhari lazima upige mayowe vigelegele na shangwe.Ukipata mpenzi mpya, usianze kupigia watu kelele ukihisi unadate malaika......malaika wote wapo mbinguni hakuna anayeishi Yaeda Chini.....usidhani huyo ni bora kuliko uliyemuacha....ni kuvumiliana tu....Ukiuza paka wako wa nyumbani...ukanunua mbwa.....there is no progress....they are all domestic animals....sawa jamani....?
While seeking revenge, dig two graves - one for yourself.......sasa pope Kaizer tukutane Chako ni Chako saa moja jioni tuone nani ataokota kuni na Bigirita na nani ataota moto na MwanajamiiOne"uliyeokota naye kuni ndio utakayeota naye moto"
Kuna jambo hapa
mpe siku chache tu my dear, hamtazisikia tena hizo pet nameskhaaa....watu hatupumui....kila saa my baby...my hane....my ei duble ess....inahuu....
Ukipata mpenzi mpya, usianze kupigia watu kelele ukihisi unadate malaika......malaika wote wapo mbinguni hakuna anayeishi Yaeda Chini.....usidhani huyo ni bora kuliko uliyemuacha....ni kuvumiliana tu....
Ukiuza paka wako wa nyumbani...ukanunua mbwa.....there is no progress....they are all domestic animals....
sawa jamani....?