Ntafanya elimu ya Tanzania iheshimiwe dunia nzima, yaani mtu akiwa na cheti kutoka Tanzania ataheshimiwa

Ntafanya elimu ya Tanzania iheshimiwe dunia nzima, yaani mtu akiwa na cheti kutoka Tanzania ataheshimiwa

somo la historia halina maana.

binadamu wakwanza alikuwa nani?
Historia ni zaidi ya binadamu wa kwanza mkuu... Kila unachosoma shuleni ni history kwa maana tayari kilishafanyika then wanakukaririsha wewe katika mtindo ule ule, kwahiyo hakuna pahala unapoweza kukwepa history katika sector hiyo ya elimu.

Somo pekee ambalo halipo involved sana na engo hiyo ni mathematics lakini pia programming zaidi zaidi utafundishwa syntax zitakazo kusaidia kwenda kujenga logic wewe mwenyewe na ndio maana wasomi wengi wanapata shida kwenye hayo masomo kwa maana wamezoea kukariri na kuyatoa kama yalivyo.
 
Historia ni zaidi ya binadamu wa kwanza mkuu... Kila unachosoma shuleni ni history kwa maana tayari kilishafanyika then wanakukaririsha wewe katika mtindo ule ule, kwahiyo hakuna pahala unapoweza kukwepa history katika sector hiyo ya elimu.

Somo pekee ambalo halipo involved sana na engo hiyo ni mathematics lakini pia programming zaidi zaidi utafundishwa syntax zitakazo kusaidia kwenda kujenga logic wewe mwenyewe na ndio maana wasomi wengi wanapata shida kwenye hayo masomo kwa maana wamezoea kukariri na kuyatoa kama yalivyo.
Hata Mathematics ni historia mfano differential, algebra, na mengineo ni historia kwa sababu ni mambo watu waliofanya zamani sana
 
Kupitia uwekezaji
Uwekezaji hadi sasa unafanyika ila nadhani shida ya elimu ya Tz haiko hapo kwenye uwekezaji, kwa maana shida ingekua ni uwekezaji Hawa ambao wamepata bahati ya kwenda shule wangekua Bora sana kwenye vile walivyosomea ila trust me 90% ya wahitimu wa chuo kikuu hawako vizuri kwenye taaluma zao.
 
Hata Mathematics ni historia mfano differential, algebra, na mengineo ni historia kwa sababu ni mambo watu waliofanya zamani sana
At least hayo huwa yanatoka kwenye historia kwasababu utafundishwa concept ila swali halitakuja kama ulivyofundishwa so utatakiwa ujenge logic zako binafsi ili uweze kutegua.

But all ni all everything is history.
 
Uwekezaji hadi sasa unafanyika ila nadhani shida ya elimu ya Tz haiko hapo kwenye uwekezaji, kwa maana shida ingekua ni uwekezaji Hawa ambao wamepata bahati ya kwenda shule wangekua Bora sana kwenye vile walivyosomea ila trust me 90% ya wahitimu wa chuo kikuu hawako vizuri kwenye taaluma zao.
Hakuna uwekezaji kwenye elimu ya msingi shule hazina walimu wa kutosha, hazina maabara zenye vifaa, baadhi wanafunzi wanakaa chini, nyingi wanafunzi hawali shuleni, baadhi ya madarasa ni magofu yote haya ni kukosekana na uwekezaji

Wanafunzi wa vyuo vikuu hawako vizuri sababu ya msingi mbovu wa elimu ya msingi na secondary
 
Hakuna uwekezaji kwenye elimu ya msingi shule hazina walimu wa kutosha, hazina maabara zenye vifaa, baadhi wanafunzi wanakaa chini, nyingi wanafunzi hawali shuleni, baadhi ya madarasa ni magofu yote haya ni kukosekana na uwekezaji

Wanafunzi wa vyuo vikuu hawako vizuri sababu ya msingi mbovu wa elimu ya msingi na secondary
Nadhani elimu haipaswi kuwa ya aina moja kwa maana kuna elimu nyingi sana watu wanaweza kuwa nazo ukiachana na hiyo ya taaluma iliyozoeleka.

Ufanywaji wa elimu kuwa ya aina moja na kuifanya iwe ya lazima ndio chanzo cha kupata end product mbovu.

Watu wengi hukimbilia kwenye eneo hilo kwasababu ya unafuu wa maisha ya kwamba wameaminishwa ukisoma utakua na maisha mazuri so anachoamua kufanya ni kukariri kwa lengo la kujibia mtihani balada ya kuelewa ili ije kumsaidia hapo baadae.

Thou sababu zako ni za msingi ila am sure hata huo uboreshwaji ukifanyika bado tutaendelea kupata wasomi wa vyeti tu na si wasome wenye kuyaelewa maeneo yao kwa uzuri.

Elimu inahitaji utayari wa mtu binafsi.
 
Nadhani elimu haipaswi kuwa ya aina moja kwa maana kuna elimu nyingi sana watu wanaweza kuwa nazo ukiachana na hiyo ya taaluma iliyozoeleka.

Ufanywaji wa elimu kuwa ya aina moja na kuifanya iwe ya lazima ndio chanzo cha kupata end product mbovu.

Watu wengi hukimbilia kwenye eneo hilo kwasababu ya unafuu wa maisha ya kwamba wameaminishwa ukisoma utakua na maisha mazuri so anachoamua kufanya ni kukariri kwa lengo la kujibia mtihani balada ya kuelewa ili ije kumsaidia hapo baadae.

Thou sababu zako ni za msingi ila am sure hata huo uboreshwaji ukifanyika bado tutaendelea kupata wasomi wa vyeti tu na si wasome wenye kuyaelewa maeneo yao kwa uzuri.

Elimu inahitaji utayari wa mtu binafsi.
Ukienda nchi zote zilizoendelea huwezi kuta wanafunzi wakaa chini, mara hakuna mwalimu wa physics kama ilivyo kwa shule nyingi za serikali, darasa linawanafunzi wengi kupita kawaida n.k
Miundombinu ya kusomea lazima iwe mizuri
 
Ukienda nchi zote zilizoendelea huwezi kuta wanafunzi wakaa chini, mara hakuna mwalimu wa physics kama ilivyo kwa shule nyingi za serikali, darasa linawanafunzi wengi kupita kawaida n.k
Miundombinu ya kusomea lazima iwe mizuri
Ni sawa ila pia nchi za wenzetu elimu haina njia moja kama ambavyo ipo hapa kwetu.

Elimu ya muhimu ingebaki kuwa ya msingi ila huko mbele elimu ingetawanywa ili watu waende kwenye maeneo ambayo wanaona wanafit.

Kwahiyo watoto wasome la kwanza hadi la nne au la sita kama ambavyo inaenda kuwa hivi sasa, na kipindi hiki kiwe cha kuwapima watoto katika namna tofauti tofauti lakini pia katika kipindi hiki mtoto akimaliza anatakiwa awe na uwezo wa kuandika na kuongea lugha angalau mbili kwa ufasaha.

Na baada ya hapo zile carrier ambazo hazina ulazima wa mtu kusoma vidato zaidi ya hapo zitengwe na academy zake zifunguliwe ili wale ambao hobby zao ziko huko wapelekwe moja kwa moja.

Academic za michezo ya aina zote, utunzi, uigizaji, uandishi, urembo na mitindo, ufundi wa aina mbalimbali, udereva(kama ulivyosema hapo juu), ukalimani na kadhalika.

Na wale ambao wanataka kuwa walimu, madaktari, maengineer, lawyers na kadhalika, hao sasa ndio waendelee na njia ya kawaida ya elimu hadi kufika huko chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom