Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Mtoto anayemaliza elimu ya shule ya msingi atakua na uwezo ufuatao;-
Mwanafunzi aliyemaliza form four atakuwa na uwezo ufuatao;-
Ni kitafanyika niiiwa Rais wa Tanzania
- Uwezo wa kujieleza kwa kujiamini kwa kutumia kingereza na kiswahili
- Atakuwa na msingi imara wa kuongea kingereza,
- Kutumia computer na kufungua vitu vidogo vidogo kama email, (Tanzania kuna group kubwa la watu hawajui hata kufungua email ni aibu kwakweli)
- kuandaa word, na PowerPoint
Mwanafunzi aliyemaliza form four atakuwa na uwezo ufuatao;-
- Kujua kuongea kichina
- Kutumia excel katika advanced level
- Kujua graphics
- Kujua programming language zisizopungua nane
- Kujua kutengeneza website, na mobile apps
- Kutrain Artificial intelligence models na machine learning models
- Kujua udereva wa magari yote mpaka forklift, caterpillar, kwa ajili magari ya kisasa (mwaka huu madereva kutoka Tanzania walishindwa interview kule qatar hilo swala halitokuwepo) udereva ni somo tokea form one mpaka form four
Ni kitafanyika niiiwa Rais wa Tanzania
- Nchi nzima itapimwa
- Tuta-train AI models kwa kupitia master planning models ya nchi nzima baada ya hapo itakuwa ni rahisi kutumia self driving car