Keynes
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 533
- 89
Je wajua kwamba kama mfanyakazi unapolipia huduma za bima ya afya kupitia NSSF ni kwamba unafanya double contribution?? Gharama ulizotibiwa nazo utakuja kukatwa wakati unakuja kudai mafao ya uzeeni.....Kwa nini usitumie haki yako yamatibabu kupitia NHIF ambapo unakatwa 3% ya mshahara wako kisheria?? NSSF hua hawawaambii wanachama wao ukweli kua hizi garama za matibabu kama zinakuja kukatwa kwenye mafao yao ya uzeeni.kuna ukweli... ila pia ujue they could have done better kama wasingejiingiz kwenye siasa
BTW, kumbuka kuna current pressure ambazo zinalazimisha certain organization kubadili approach, hayo ya uzazi yangekuwepo tu tena bila ya dau, ni global trend.... hebu niambie kwanini nssf wanashindwa kuendesha bima ya afya??
Wanatumia propaganda ya huduma za bima ya afya ili kupata wateja wakati hata hawana vituo vilivyosajiliwa kisheria kutoa hizo huduma.
Kama wewe hauko NHIF siyo mbaya una haki ya kuwa NSSF.