Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
- Thread starter
- #101
Sometimes mt unakuja JF kwa kutegemea ungepata kuchangamsha akili na ubongo kwa kujadiliana mambo akini wapiiiii
Its so sad
Threads za NSSF humu ndani ziko kama 50 hivi na nakumbuka tushajadili hiyo ya QUALITY, DR MASAU, INVESTMENTS ZA NYUMBA, STRUCTURE, DARAJA MAFAO NA KADHALIKA...it just a matter of kubonyeza SEARCH lakini wapiiii
Sasa nimekuja na ya Umeme kwa kutegemea kuwa tutajadiliana PROS and CONS za hawa jamaa kuingia kwenye biashara ya Power Generation...gues what? no one wants even to discuss this. Sasa wenzetu ambao wanataka kujua a thing or 2 out our discussions wanashindwa hata kutuelewa
saa zingine nikiwa kule zanzinet au ethinktank nasema why cant GREAT THINKERS jadili mambo kama enzetu? as if tuna Mental block vile!
ndio hivyo GR8 THINKERS @ WORK
Its so sad
Threads za NSSF humu ndani ziko kama 50 hivi na nakumbuka tushajadili hiyo ya QUALITY, DR MASAU, INVESTMENTS ZA NYUMBA, STRUCTURE, DARAJA MAFAO NA KADHALIKA...it just a matter of kubonyeza SEARCH lakini wapiiii
Sasa nimekuja na ya Umeme kwa kutegemea kuwa tutajadiliana PROS and CONS za hawa jamaa kuingia kwenye biashara ya Power Generation...gues what? no one wants even to discuss this. Sasa wenzetu ambao wanataka kujua a thing or 2 out our discussions wanashindwa hata kutuelewa
saa zingine nikiwa kule zanzinet au ethinktank nasema why cant GREAT THINKERS jadili mambo kama enzetu? as if tuna Mental block vile!
ndio hivyo GR8 THINKERS @ WORK