Note 8 inazubaa internet

Note 8 inazubaa internet

Ilibidi mtoe ili somo mkiweza wakuu mana unauziwa simu ujui kwa Tanzania kama peform yake itakua mbovu kwa sasa itabid tuwashe tukague ndani tuone hizi 950 fd na 950f zipo??? kama akuna unatoka nduki isje kua shida mbeleni aisee
 
Ilibidi mtoe ili somo mkiweza wakuu mana unauziwa simu ujui kwa Tanzania kama peform yake itakua mbovu kwa sasa itabid tuwashe tukague ndani tuone hizi 950 fd na 950f zipo??? kama akuna unatoka nduki isje kua shida mbeleni aisee
wauzaji nao wako kwenye kundi la wajinga wasiojua.
 

Attachments

  • Screenshot_20210217-170413.jpg
    Screenshot_20210217-170413.jpg
    96.3 KB · Views: 13
  • Screenshot_20210217-170727.jpg
    Screenshot_20210217-170727.jpg
    71.7 KB · Views: 15
Nashkur kwa ofa lakin kuna brands situmii hata kwa bure. Simu sio suala la mawasiliano tu. Inaonyesha hata namna yako ya kufikiri. (Usinifokee. Nisamehee. Nimeshtukia ukweli umenitoka)
Unafeli. Tecno wana simu mpya, nzuri, na zinawakimbiza samsung na iPhone.

Najua mtabisha, ila huu ndio ukweli.
 
hupati QHD kwenye kioo chako,au nakusingizia???

kioo chako hakikupi afya ya macho maana hakijakidhi viwango vya kiufundi, kama natania ongeza mwanga mpaka mwisho gizani kama macho hayajakuuma.

kuna angle kwenye kioo chako hautachi kirahisi mpaka utumie nguvu, ila hujui sababu hujawahi hangaika kutaka kujua.

kingine simu yako ikijaa 50%inaanza kuwa nzito sababu haina nguvu, haijatengenezwa kulingana na kile kitu inatakiwa kufanya, hapa ni optimization.

Mengine sio kweli.

Mimi natumia Camon 12 Pro, ina ram ya 6GB na Internal Memory ya 64GB.

Kila siku naijaza simu kukopy movies, series, setup files za windows, mac os, softwares na kadhalika. Napumulia 59GB hadi 63GB na inapush speed ileile. Haiyumbi. Haijawai ganda wala kustack hata siku moja.

Nina apps 128 nimeeka kwenye simu na zinafanya kazi fresh mno, zingine sijatumia zaidi ya mwaka na fresh tuu. Nacheza games, kwa speed nzuri tuu, ndogo na za kati (DLS21, Candycrush saga, Asphalt nitro)

Na pia napakua kwa speed ya hadi 5Mbps kwa line ya halotel na kupandisha (upload) kwa speed ya hadi 3Mbps.

Nliinunua dec 2019 na mpaka leo ipo good sana.

Asa io Camon 16 Premier ndio usibonyeze. RAM GB 8 na internal Memory ya 128 GB, processing speed ya (2×2.2 Ghz na 6×2.0 Ghz) ni soo.

Bei nafuu.

Sihangaiki kununua simu jina wala sifa za kijinga, za zamani, bali nanunua simu inafanya makubwa kwa bei chee. Na nachana boksi, hata kama ni laki mbili, ila mi ndo wa kwanza kuitumia.

Acheni nikue na Tecno
 
Mengine sio kweli.

Mimi natumia Camon 12 Pro, ina ram ya 6GB na Internal Memory ya 64GB.

Kila siku naijaza simu kukopy movies, series, setup files za windows, mac os, softwares na kadhalika. Napumulia 59GB hadi 63GB na inapush speed ileile. Haiyumbi. Haijawai ganda wala kustack hata siku moja.

Nina apps 128 nimeeka kwenye simu na zinafanya kazi fresh mno, zingine sijatumia zaidi ya mwaka na fresh tuu. Nacheza games, kwa speed nzuri tuu, ndogo na za kati (DLS21, Candycrush saga, Asphalt nitro)

Na pia napakua kwa speed ya hadi 5Mbps kwa line ya halotel na kupandisha (upload) kwa speed ya hadi 3Mbps.

Nliinunua dec 2019 na mpaka leo ipo good sana.

Asa io Camon 16 Premier ndio usibonyeze. RAM GB 8 na internal Memory ya 128 GB, processing speed ya (2×2.2 Ghz na 6×2.0 Ghz) ni soo.

Bei nafuu.

Sihangaiki kununua simu jina wala sifa za kijinga, za zamani, bali nanunua simu inafanya makubwa kwa bei chee. Na nachana boksi, hata kama ni laki mbili, ila mi ndo wa kwanza kuitumia.

Acheni nikue na Tecno
Hebu jaribu kudownload genshini impact playstore Kisha tupe feedback linachezaje?
 
Mengine sio kweli.

Mimi natumia Camon 12 Pro, ina ram ya 6GB na Internal Memory ya 64GB.

Kila siku naijaza simu kukopy movies, series, setup files za windows, mac os, softwares na kadhalika. Napumulia 59GB hadi 63GB na inapush speed ileile. Haiyumbi. Haijawai ganda wala kustack hata siku moja.

Nina apps 128 nimeeka kwenye simu na zinafanya kazi fresh mno, zingine sijatumia zaidi ya mwaka na fresh tuu. Nacheza games, kwa speed nzuri tuu, ndogo na za kati (DLS21, Candycrush saga, Asphalt nitro)

Na pia napakua kwa speed ya hadi 5Mbps kwa line ya halotel na kupandisha (upload) kwa speed ya hadi 3Mbps.

Nliinunua dec 2019 na mpaka leo ipo good sana.

Asa io Camon 16 Premier ndio usibonyeze. RAM GB 8 na internal Memory ya 128 GB, processing speed ya (2×2.2 Ghz na 6×2.0 Ghz) ni soo.

Bei nafuu.

Sihangaiki kununua simu jina wala sifa za kijinga, za zamani, bali nanunua simu inafanya makubwa kwa bei chee. Na nachana boksi, hata kama ni laki mbili, ila mi ndo wa kwanza kuitumia.

Acheni nikue na Tecno
bei nafuu ni shingapi??
 
Back
Top Bottom