Note 8 inazubaa internet

Note 8 inazubaa internet

Kama upo Dar kesho njoo nayo kkoo

mimi ni fundi simu upande wa software

kwa wale wanaotaka kununua simu za samsung international/global nashauri muangalie model kupitia download mode sio kupitia settings-about
Hii inahitaji utaalamu maana unaiweka simu download mode kama unataka kuiflash
Ukiangalia hizo FD/F kupitia settings bado mtapigwa tu, maana binafsi kuna wateja wangu wananunua china version wananiambia wanataka niwatolee application za kichina wanataka iwe kama samsung nyingine, huwa nawapigia converted rom inayoishia na FD/F

kwa hiyo hapo ukiangalia kupitia settings kama hizo screenshot zilizowekwa humu jukwaani zitawaonyesha ni FD/F kumbe kitu ni U/N

model halisi ya samsung zinapatikana kupitia download mode
Download mode unaipataje kwenye simu mkuu?
 
Download mode unaipataje kwenye simu mkuu?
Zima simu kisha

Vol down + Bixy + Power kwa simu zenye button nne

Vol up + Down then connect usb kwa simu zenye button tatu

Vol down + home + power kwa simu zenye home button

utabonyeza volume up kuthibitisha kisha utaona model ya simu na info nyingine
 
Vol down + Bixy + Power kwa simu zenye button nne

Vol up + Down then connect usb kwa simu zenye button tatu

Vol down + home + power kwa simu zenye home button

utabonyeza volume up kuthibitisha kisha utaona model ya simu na info nyingine
Sasa nikifanya hivo sauti inashuka only
 
Back
Top Bottom