Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,285
- 51,895
Sasa unaleta maringo ya nini wakati toy lako Hata network ni tatizo?Nashkur kwa ofa lakin kuna brands situmii hata kwa bure. Simu sio suala la mawasiliano tu. Inaonyesha hata namna yako ya kufikiri. (Usinifokee. Nisamehee. Nimeshtukia ukweli umenitoka)


