Note 8 inazubaa internet

Note 8 inazubaa internet

Hivi kumbe Wi-Fi inafanya kazi kwenye simu isiyo na line? Nilikuwa sijui.

Sasa kwanini ujitese hivyo wakati unaweza kuwa na Tecno yenye hivyo vyote kwa wakati mmoja kuliko kuungaunga? 😆😆
tatzo liko hapo kwenye kuikamata tecno kwa mikono yako!
 
Wakuu mimi nina s6+ lakini haijawahi kukubali kuupgrade hata siku 1.

Screenshot_20210828-203423.png
 
Pengine ni refurb, unaweza flash mwenyewe manual, ila kama sio mzoefu ipotezee tu.
Mimi sio mzoefu.. acha nipotezee tu .
Shida leo nimejaribu kudownload netflix inaniandikia 'your device is not compatible with this version' nikahisi shida itakua sijaupdate software
 
Mimi sio mzoefu.. acha nipotezee tu .
Shida leo nimejaribu kudownload netflix inaniandikia 'your device is not compatible with this version' nikahisi shida itakua sijaupdate software
Widevine certificate hakuna, wachina washaigusa gusa itakuwa.
 
Mimi sio mzoefu.. acha nipotezee tu .
Shida leo nimejaribu kudownload netflix inaniandikia 'your device is not compatible with this version' nikahisi shida itakua sijaupdate software
Kama upo Dar kesho njoo nayo kkoo

mimi ni fundi simu upande wa software

kwa wale wanaotaka kununua simu za samsung international/global nashauri muangalie model kupitia download mode sio kupitia settings-about
Hii inahitaji utaalamu maana unaiweka simu download mode kama unataka kuiflash
Ukiangalia hizo FD/F kupitia settings bado mtapigwa tu, maana binafsi kuna wateja wangu wananunua china version wananiambia wanataka niwatolee application za kichina wanataka iwe kama samsung nyingine, huwa nawapigia converted rom inayoishia na FD/F

kwa hiyo hapo ukiangalia kupitia settings kama hizo screenshot zilizowekwa humu jukwaani zitawaonyesha ni FD/F kumbe kitu ni U/N

model halisi ya samsung zinapatikana kupitia download mode
 
Kama upo Dar kesho njoo nayo kkoo

mimi ni fundi simu upande wa software

kwa wale wanaotaka kununua simu za samsung international/global nashauri muangalie model kupitia download mode sio kupitia settings-about
Hii inahitaji utaalamu maana unaiweka simu download mode kama unataka kuiflash
Ukiangalia hizo FD/F kupitia settings bado mtapigwa tu, maana binafsi kuna wateja wangu wananunua china version wananiambia wanataka niwatolee application za kichina wanataka iwe kama samsung nyingine, huwa nawapigia converted rom inayoishia na FD/F

kwa hiyo hapo ukiangalia kupitia settings kama hizo screenshot zilizowekwa humu jukwaani zitawaonyesha ni FD/F kumbe kitu ni U/N

model halisi ya samsung zinapatikana kupitia download mode
Asantre sana mkuu.
 
Samsung sijui wanakwama wap. Mi huwa natumia hii brand tu. Lakin kwanini upande wa internet huwa hairespond haraka had kuzidiwa na tecno wakat ina ram kubwa? Browser natumia samsung. Kwa sasa nina note 8 lakin hata kuuliza salio inazubaa tu.

Internet nayo haitembei kwa wakat. Niko voda. Dar. Sijaweka apps nying na memory nimetumia 20% tu. Anayejua namna ikuwe fast anisaidie. Kila kitu inarespond kwa kujifikiria sana.
Simu bomba Kwa kuvuta mtandao vizuri zilikuepo ni Huawei Kwa uelewa wangu
 
Samsung sijui wanakwama wap. Mi huwa natumia hii brand tu. Lakin kwanini upande wa internet huwa hairespond haraka had kuzidiwa na tecno wakat ina ram kubwa? Browser natumia samsung. Kwa sasa nina note 8 lakin hata kuuliza salio inazubaa tu.

Internet nayo haitembei kwa wakat. Niko voda. Dar. Sijaweka apps nying na memory nimetumia 20% tu. Anayejua namna ikuwe fast anisaidie. Kila kitu inarespond kwa kujifikiria sana.
Niliwah tumia s7 edge
 
Kama upo Dar kesho njoo nayo kkoo

mimi ni fundi simu upande wa software

kwa wale wanaotaka kununua simu za samsung international/global nashauri muangalie model kupitia download mode sio kupitia settings-about
Hii inahitaji utaalamu maana unaiweka simu download mode kama unataka kuiflash
Ukiangalia hizo FD/F kupitia settings bado mtapigwa tu, maana binafsi kuna wateja wangu wananunua china version wananiambia wanataka niwatolee application za kichina wanataka iwe kama samsung nyingine, huwa nawapigia converted rom inayoishia na FD/F

kwa hiyo hapo ukiangalia kupitia settings kama hizo screenshot zilizowekwa humu jukwaani zitawaonyesha ni FD/F kumbe kitu ni U/N

model halisi ya samsung zinapatikana kupitia download mode
Yangu nikiipiga ya model yake mtandao unakuwa chini hadi niipige iliyotokana nayo huko sijui shida itakua nini mkuu!!
 
Back
Top Bottom