beka the boy
Senior Member
- Nov 6, 2018
- 167
- 97
So hakuna namna yoyote kuipeleka android 10?Simu imekuja na converted rom
Ni refurbished
So hakuna namna yoyote kuipeleka android 10?Simu imekuja na converted rom
Ni refurbished
Kesho nikirudi ofisini nitakuangalizia kama kuna convrted rom ya android 10So hakuna namna yoyote kuipeleka android 10?
Kunakua hakuna H+Kesho nikirudi ofisini nitakuangalizia kama kuna convrted rom ya android 10
maana umesema ukiweka official inakua slow
Na vikorea kama vyoteKesho nikirudi ofisini nitakuangalizia kama kuna convrted rom ya android 10
maana umesema ukiweka official inakua slow
Smartkitoch gani nzuri?Band hizo huwezi badilisha hapo. Sababu zipo kwenye baseband firmware ambayo ipo linked na firmware nzima ya simu. Kwa samsung hzo haiwezekani kabisa kwasababu hata processor zinatofautiana kwahyo huwezi pachika tu firmware ya international kwenye model ya US. Hyo model yako ya US inatumia processor za Qualcomm na International model inatumia Exynos CPU.
Kma ndio umenunua hapa karibuni irudishe tu ulipoinunua. Solution ya haraka ni kutumia smart kitochi kama hotspot ili uweze ingia net vizuri na upate calls zako na message kwenye hcho smart kitochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss note8 yang nayo inagoma ku upgrade ni version ya 8Kesho nikirudi ofisini nitakuangalizia kama kuna convrted rom ya android 10
maana umesema ukiweka official inakua slow
nunua tigoSmartkitoch gani nzuri?
Utapata android 9Na vikorea kama vyote
Model no. TafadhariBoss note8 yang nayo inagoma ku upgrade ni version ya 8
Weka model ya simuWakuu nataka niweke android 8.10 oreo kwenye my galaxy note 9 ila Binary device ya simu ni 3 , na zilizopo kwenye firmware ni 2
Navukaje hapa ?
@chiefmkwawa
SM-N960NWeka model ya simu
ANDROID 10 unapataSM-N960N
8.10 oreo sipati ?ANDROID 10 unapata
HyooModel no. Tafadhari
Kwa nini unataka android 8.1?8.10 oreo sipati ?
Duh kwa hiyo 10 sipati mileleUtapata android 9
Muonekano wake naukubali sana mkuuKwa nini unataka android 8.1?
Android 8.1 hupatiMuonekano wake naukubali sana mkuu
Hupati officialDuh kwa hiyo 10 sipati milele