Nondo amvaa Khamis Mobeto kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi. Kongole Azam

johnmashilatu

JF-Expert Member
Sep 16, 2010
787
811
Asubuhi hii, nimebahatika kuona mjadala wa wanasiasa kupitia UTV ambapo mwenyekiti wa ngome ya vijana ya ACT wazalendo, amemvaa vilivyo naibu katibu mwenezi wa CCM Zanzibar Khamis Mobeto.

Katika mjadala huo, Mwenezi huyo wa CCM amenukuliwa akisema Tume huru ya uchaguzi itaanza baada ya uchaguzi wa 2025.

Nimevutiwa na mwongozaji wa kipindi kwa kuwaita wahusika kutoka pande zote kushiriki mada hiyo lakini pia namna watangazaji walivyokuwa na uhuru wa kuingilia na kuhoji.

Huu ni ujumbe mzuri kwa wale wengine wanaoita watu wa upande mmoja na " kutoa mahubiri" ya upande wa wasifiaji na mapambio.
 

Attachments

  • NONDO NA CCM.m4a
    9.8 MB · Views: 4
Asubuhi hii, nimebahatika kuona mjadala wa wanasiasa kupitia UTV ambapo mwenyekiti wa ngome ya vijana ya ACT wazalendo, amemvaa vilivyo naibu katibu mwenezi wa CCM Zanzibar Khamis Mobeto.

Katika mjadala huo, Mwenezi huyo wa CCM amenukuliwa akisema Tume huru ya uchaguzi itafaanza baada ya uchaguzi wa 2025.
muhimu zaidi ndugu zangu, ni kujiandaa vyema na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu,na baadae mwaka ujao uchaguzi mkuu 🐒
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
kama hujawahi kuona uchaguzi Huru, wa Haki, na Wazi Tz, basi fuatilia kwa karibu sana uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu na uchaguzi mkuu mwaka ujao, utakao simamiwa na Tuma Huru ya Uchaguzi🐒

Jambo la muhimu zaidi la kuzingatia,
usije ukubaini kwamba ni kweli ni uchaguzi ulikua Huru, Haki na Wazi uchaguzi ukiwa umekwisha, kisha ukaanza kujuta..

oohh bora ningeshiriki,
itabidi usubiri miaka mi5 tena 🐒
 
Tutajiandaa vipi katika mazingira haya? Kujiandaa hakuhusishi kuwa na tume huru ya uchaguzi iliyoridhiwa na wote?
wote wapi tena 🐒

wanainchi kupitia bunge lao tukufu wamepaza sauti na kurekebisha yaliyo muhimu na kuamua iwe kama ilivyo na tunasonga mbele kwenye utekelezaji 🐒

ikiwa hukuridhika, basi hilo ni jambo binafsi tafuta namna binafsi kulitatua.
Lakini ukweli ni kwamba waTz walisharidhia tayari kupitia bunge 🐒
 
kama hujawahi kuona uchaguzi Huru, wa Haki, na Wazi Tz, basi fuatilia kwa karibu sana uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu na uchaguzi mkuu mwaka ujao, utakao simamiwa na Tuma Huru ya Uchaguzi🐒

Jambo la muhimu zaidi la kuzingatia,
usije ukubaini kwamba ni kweli ni uchaguzi ulikua Huru, Haki na Wazi uchaguzi ukiwa umekwisha, kisha ukaanza kujuta..

oohh bora ningeshiriki,
itabidi usubiri miaka mi5 tena 🐒
Narudia tena, Tanzania hakuna uchaguzi bali Kuna maeonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Tutahakikisha watu wote wanaojitambua hawajitokezi kushiriki huo upuuzi. Uchaguzi huru unafanyikia kwa Sheria za haki, kama hata kanuni za uchaguzi hadi leo bado, na wanaozitunga ni hao hao wafaidika wa hizo chaguzi za kipuuzi, ni wendawazimu kusema kutakuwa na uchaguzi huru.
 
Asubuhi hii, nimebahatika kuona mjadala wa wanasiasa kupitia UTV ambapo mwenyekiti wa ngome ya vijana ya ACT wazalendo, amemvaa vilivyo naibu katibu mwenezi wa CCM Zanzibar Khamis Mobeto.

Katika mjadala huo, Mwenezi huyo wa CCM amenukuliwa akisema Tume huru ya uchaguzi itaanza baada ya uchaguzi wa 2025.

Nimevutiwa na mwongozaji wa kipindi kwa kuwaita wahusika kutoka pande zote kushiriki mada hiyo lakini pia namna watangazaji walivyokuwa na uhuru wa kuingilia na kuhoji.

Huu ni ujumbe mzuri kwa wale wengine wanaoita watu wa upande mmoja na " kutoa mahubiri" ya upande wa wasifiaji na mapambio.
Hii siasa imeingiliwa hadi Hamisa Mobeto ni Mwanasiasa kweli?
 
Tutajiandaa vipi katika mazingira haya? Kujiandaa hakuhusishi kuwa na tume huru ya uchaguzi iliyoridhiwa na wote?
TUME HURU IPI TANZANIA HAJARIDHIWA NA WOTE? HUJUI AU MAKUSUDI?

bunge la Tanzania linalowakilisha mawazo na maoni ya wananchi wote waTanzania lilijadili na kuridhia maini ya wananchi kuhusu mabadiliko ya tume huru ya uchaguzi Tabazania, na hakuna namna nyingine :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom