iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
Naona mpaka
Kiitaliano mnaandika hii No Reform No ElectionNiente riforme, Niente elezioni.....
Kiitaliano mnaandika hii No Reform No ElectionNiente riforme, Niente elezioni.....
Huu mwiba ndiyo mliwapelekea UDOM wakapiga kelele. No reforms Np Election.vijana woote mwelekeo ni#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKI
#OKTOBATUNATIKIView attachment 3360303
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nani Katoa Tena 🤣🤣
NRNEHabari za jumapili;
Kuna mgongano wa makundi mawili;
Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?
Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.
Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.
Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.
Haya twende Kazi
NO REFORMS NO ELECTIONHabari za jumapili;
Kuna mgongano wa makundi mawili;
Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?
Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.
Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.
Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.
Haya twende Kazi
Hatuwezi kuwa na uchaguzi wa kisengeHabari za jumapili;
Kuna mgongano wa makundi mawili;
Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?
Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.
Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.
Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.
Haya twende Kazi
😄😄Naona jamiiforum ikishirikiana na serikali wamekimbia na sanduku la kura 🤣🤣🤣
Kama ni hivi itakuaje kwenye kura halisi?
Hatuwezi kuwa na uchaguzi wa kisenge
No reforms no election ⚒️ 💯
Tutakuwepo 😎
Hutoshiriki uchaguzi mwaka huu?Wote ni upuuzi , sishiriki Mimi
Sijawahi na nadhani sitowahi coz siamini mambo ya uchaguzi katika kubadilisha maisha yangu binafsi au ya watu kwa ujumla.Hutoshiriki uchaguzi mwaka huu?
Niliweka zimetolewa
Kwanini wameondoa mkuu..?