No reforms no Election Vs Oktoba Tunatiki✔️

No reforms no Election Vs Oktoba Tunatiki✔️

Ukosefu wa elimu ni chanzo cha kua na jamii yenye watu wa kisengelema

Kwa akili ya kawaida unashindwaje kufahamu kuhusu nini maana ya slogan je ""no reform no election" inareflect nini nchini
 
Ukosefu wa elimu ni chanzo cha kua na jamii yenye watu wa kisengelema

Kwa akili ya kawaida unashindwaje kufahamu kuhusu nini maana ya slogan je ""no reform no election" inareflect nini nchini
Hahahahahaha 🤣 🤣 😂, kwamba ukiandika "no reforms no election " kutatokea nini?

Wapiga kelele wa mitandaoni bhana😀😀😀😀.
 
Leo nawasalimia , habari zenu?

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu. Je, hiyo slogan ina faida gani?
NRNE haina faida yoyote Kama hujui kinachoendelea Tanzania.
 

Attachments

  • Screenshot_20250609-220042.png
    Screenshot_20250609-220042.png
    594.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20250609-220042.png
    Screenshot_20250609-220042.png
    594.7 KB · Views: 6
Kwahiyo unadhani hayo maneno yatabadilisha kitu?😆😆😆😆.
Hayabadili kitu mkuu isipokuwa ya affects kubwa tu kwa international relations ila ndani ya Tanzania NI mambo ya kawaida.
 

Attachments

  • Screenshot_20250609-220042.png
    Screenshot_20250609-220042.png
    594.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom