No reforms no Election Vs Oktoba Tunatiki✔️

No reforms no Election Vs Oktoba Tunatiki✔️

Chadema chama cha wachaga na wachaga wengi wezi na wabinafsi refer TRA walivyojazana, tukiwapa hawa tutajuta,
Oktoba Tunatiki✅✅
 
Habari za jumapili;

Kuna mgongano wa makundi mawili;

Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?

Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.

Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.

Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.

Haya twende Kazi
No aRa no iEi
 
..kuwe na MIDAHALO kati ya wanaotaka mabadiliko kabla ya uchaguzi vs wasiotaka mabadiliko.

..Ccm wanapenda kushindanisha KAULI MBIU badala ya kushindanisha HOJA.

Cc Nguruvi3, Kalamu
 
20250608_081654.png
 
Habari za jumapili;

Kuna mgongano wa makundi mawili;

Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?

Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.

Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.

Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.

Haya twende Kazi
1000005529.jpg
 
Hali ya Oktoba tunatiki hadi sasa round ya kwanza tu🤣🤣🤣 No reform No Election mapokeo makubwa sana kizalendo
 

Attachments

  • 20250609_191625.jpg
    20250609_191625.jpg
    42.9 KB · Views: 12
Mtibeli baada ya kuona tumeshinda umeondoa poll yaani umekimbia na box la kura
 
OCTOBER TUNA TIK
TIK YA KURA NI HAKI YAKO AMBAYO NI MALI SAWA NA DHAHABU.
ILINDE WASIIBE WEZI WA KURA KWA KUBAKI NAYO, UKIITOA UMELIWA KEKUNDU.
WANAOTIK HAWAHESABU KURA BALI WANAPITISHA NA KUTANGAZA NA HAWAJALI KURA YAKO.
WEWE HUNA UHAKIKA WA KUTUMIA KURA NDIO MAANA TUNASEMA #no reforms no election.
Screenshot_20250609-200239.jpg
Screenshot_20250609-200239.jpg
 
Back
Top Bottom