No reform,no electionHabari za jumapili;
Kuna mgongano wa makundi mawili;
Wapo wanaosema Bila mabadiliko ya tume hakuna Uchaguzi Vs wale wanaoona mambo yapo sawa hivyo watashiriki uchaguzi. Maoni yako ni yapi?
Kila kundi Lina haki ya kimtazamo kuamini kile linachoamini.
Hivyo yeyote asichukuliwe mbaya kwa kuchagua upande.
Mtu huchagua upande aliopo kutokana na Uelewa wake, mtazamo wake, Maslahi yake.
Wapo wenye maslahi katoka HAKI na wapo wenye Maslahi katika dhulma.
Ingawaje Haki haimzuii mtu kuchagua dhulma ingawaje MTU akiamua kuchagua dhulma kwa haki yake anatakiwa pia asikatae mavuno ya dhulma yake.
Haya twende Kazi
Pambana na hali yako mzee mgaya!Kichwa cha uzi kinajieleza kinaga Ubaga usipoelewa hilo ni tatizo lako binafsi siyo la Katiba ya JMT
Nawatakia Jumaa Mubarak
Kichwa cha uzi kinajieleza kinaga Ubaga usipoelewa hilo ni tatizo lako binafsi siyo la Katiba ya JMT
Nawatakia Jumaa Mubarak
Kichwa cha uzi kinajieleza kinaga Ubaga usipoelewa hilo ni tatizo lako binafsi siyo la Katiba ya JMT
Nawatakia Jumaa Mubarak
“Zamani tulikua tunafuta ujinga kwa watu wazima wasiojua kusoma na kuandika lakini siku hizi vijana wengi ndio WAJINGA”Kichwa cha uzi kinajieleza kinaga Ubaga usipoelewa hilo ni tatizo lako binafsi siyo la Katiba ya JMT
Nawatakia Jumaa Mubarak
My Man 👊Haki ya Kikatiba sio leseni ya ujinga ,even choices need direction, si kufuata upepo tu!