Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,087
- 643
Leo nimefanikiwa kukutana na Page ya NMB PLC kule Facebook,
NMB Sasa wameamua kufungua akaunti kwa TZS 1,000 tena bila makato ya mwezi hii ni dalili ya uchumi wa nchi kukua kwa kasi nakuzifanya Benki zinyang'anyane wateja,
Nashauri waangalie eneo la riba za Mikopo pia ishuke ili kuvutia wakopaji wengi zaidi,
Viva Samia, Viva Tanzania,
=====
Soma ujumbe wao hapa chini,
""Ushawahi kuskia Akaunti inayofunguliwa kwa Buku na isiyo na makato ya mwezi?
Kama bado, basi sogea “Mbagala Zakhiem” kwenye mtoko wa NMB Pesa Day tukupe habari zake huku ukishuhudia burudani kibao kutoka kwa wasanii wakubwa Tanzania!
Zawadi za kutosha zitatolewa kwa watakaojisajili na #NMBPesa ikiwemo Bodaboda, majiko ya gesi, pesa taslim na surprise nyingine kibao.
NB: Hakikisha unakuja na kitambulisho uwanjani uweze kufunguliwa akaunti ya #NMBPesa kwa buku tu"
#NMBKaribuYako #HaachwiMtu
NMB Sasa wameamua kufungua akaunti kwa TZS 1,000 tena bila makato ya mwezi hii ni dalili ya uchumi wa nchi kukua kwa kasi nakuzifanya Benki zinyang'anyane wateja,
Nashauri waangalie eneo la riba za Mikopo pia ishuke ili kuvutia wakopaji wengi zaidi,
Viva Samia, Viva Tanzania,
=====
Soma ujumbe wao hapa chini,
""Ushawahi kuskia Akaunti inayofunguliwa kwa Buku na isiyo na makato ya mwezi?
Kama bado, basi sogea “Mbagala Zakhiem” kwenye mtoko wa NMB Pesa Day tukupe habari zake huku ukishuhudia burudani kibao kutoka kwa wasanii wakubwa Tanzania!
Zawadi za kutosha zitatolewa kwa watakaojisajili na #NMBPesa ikiwemo Bodaboda, majiko ya gesi, pesa taslim na surprise nyingine kibao.
NB: Hakikisha unakuja na kitambulisho uwanjani uweze kufunguliwa akaunti ya #NMBPesa kwa buku tu"
#NMBKaribuYako #HaachwiMtu