Mtwa Mkulu : hapo kuna vitu vya msingi kumbe:Wananyonya sana wafanyakazi faida wanagawia serikali. Kumbe kwa mafweza hayo mengi walikuaa wanaweza kabisa kupunguza Riba kwenye mikopo yao
1. Huenda wana riba kubwa kwenye mikopo yao na ndio maana kila siku tunasikia nyumba za wateja zinauzwa na madalali wa benki kwa wateja wengi kushindwa kulipa mikopo!
2. Hii benki ina kesi nyingi mno katika mabaraza ya ardhi na mahakamani kwa kushindwa kuwakabidhi wanunuzi wa nyumba baada ya kununua kwenye minada!
3. Huenda hawa ni wanyonyaji kwa wafanyakazi kazi... hii ni hoja kubwa mno! Inahitaji majibu na ufafanuzi wa kina kama walivyojitutumua na faida na pia Gawio kubwa kwa Serikali??
4. Hii benki ndio inaongoza kwa kuwa na kesi nyingi dhidi ya wafanyakazi katika Mahakama za Kazi Tanzania.
Wananyonya sana wafanyakazi faida wanagawia serikali. Kumbe kwa mafweza hayo mengi walikuaa wanaweza kabisa kupunguza Riba kwenye mikopo yao
Basi kama hayo yote ni sahihi hata hilo gawio waliotoa pamoja na mbwembwe zote hizo ni kiduchu mno. Huenda hata walitakiwa kutoa gawio mara kumi kuliko kama walivyofanya!
Ni mawazo fikirishi.
Cc FaizaFoxy, Evelyn Salt, Pascal, Mpwayungu Village, RaraaaReree, Involved et al