Sasa boss unatishika kwa lipi hasa?, mbona ni jambo la kawaida tu, kutumiwa email tu unakuwa muoga je ungekuwa kwenye mahojiano ungekuwa na hali gani!?.tupo wengi mkuu... ikiingia tu notification naogopa hadi kushika simu nahisi isije ikawa email..... dah. bora hili zoezi liishe maana ambao hatujapata email tumeshikwa na homa ya tumbo ghafla bora hata waliopata email wamesha move on.🙆
nilikua na hofu mwanzoni lakini sahizi watume or wasitume kwangu sawa, nimesha amua kumove on kabla hata ya kupata hiyo email yao maana sijui nitapata lini, tusije tukawa tunasubiri meli airport🚶🚶Sasa boss unatishika kwa lipi hasa?, mbona ni jambo la kawaida tu, kutumiwa email tu unakuwa muoga je ungekuwa kwenye mahojiano ungekuwa na hali gani!?.
Ila NMB wana approach ya kuleta presha
Kwahiyo hadi leo waliofanikiwa hawajajulishwa?
kwani zoezi la email limeisha tayari?
wanatuma email alhamis, ijumaa na jumamosi katika wiki... bado hawajamaliza kutuma email.Sina uhakika ila kama wameanza kuzituma email tangu wiki iliyopita nahisi walitakiwa wawe wamemaliza
ni kweli hili zoezi ni endelevu aisee wasiopata email hawatakiwi kuwa na presha muda ndo muamuzi.wanatuma email alhamis, ijumaa na jumamosi katika wiki... bado hawajamaliza kutuma email.
Vipi bado unasurvive?wanatuma email alhamis, ijumaa na jumamosi katika wiki... bado hawajamaliza kutuma email.
😁😁😁😁bado nasubiriVipi bado unasurvive?
Mi naona jiandae kwa intavyuu tubado nasubiri
wengine tuna upper hatujapata email na wapo wenye upper ninao wajua wamepata email, wengine wana lower hawajapata emailHahaha hii thread inachekesha. Mi naona walibadili gear angani walivoona waombaji ni wengi...yaani wakaona wachukue wale wenye upper second GPA.
Mmh ilikuwepo bhana. Sehemu ya kuattach.Wanajuaje gpa na hapakua na option ya kuweka vyeti ?
wengine tuna upper hatujapata email na wapo wenye upper ninao wajua wamepata email, wengine wana lower hawajapata email
Kula msuli wa intavyuunasikia itakua online tunatumiwa kwenye email.... tunafanya na kusubmit through our email. sasa sijui wanatoa taarifa au kushtukiziana![]()
Kumbe!!?Hahaha hii thread inachekesha. Mi naona walibadili gear angani walivoona waombaji ni wengi...yaani wakaona wachukue wale wenye upper second GPA.
Kumbe!!?