NMB job several position wameanza kutuma email

NMB job several position wameanza kutuma email

Izo mail vipi bado zina endelea kutumwa?

Matumbo jotrooo wengine apa
 
Demu wangu nae nilimuombea kanda ya mashariki katumiwa leo kuwa hakuchaguliwa.
 
mimi niliomba kanda ya ziwa na kanda ya mashariki lkn mpaka sasa sielewi kipi kinachoendelea sijapata email yoyote ile nabaki tukuchungulia email muda wote.
 
Da Mimi Leo nimepata email yao kuwa siwafai nikasema inshallah ngoja nirudishe mpira kwa kipa mwakani nianze upya
 
Back
Top Bottom