NMB job several position wameanza kutuma email

NMB job several position wameanza kutuma email

Nambie ukweli ndugu yangu
Natania C...well nilikuwa natoa opinion yangu, as sioni sabb nyingine wangetumia kuwakataa watu kati hawakuwa na qualifications zozote zaidi ya deadline.
 
Natania C...well nilikuwa natoa opinion yangu, as sioni sabb nyingine wangetumia kuwakataa watu kati hawakuwa na qualifications zozote zaidi ya deadline.
Maana najua watu wenye upper ila wamepata email
 
kwahiyo sisi ambao hatujapata email lini wanatuita tukafanye katest kao hako kamaswali ya shule ya msingi?
 
kwahiyo sisi ambao hatujapata email lini wanatuita tukafanye katest kao hako kamaswali ya shule ya msingi?
zoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.
 
zoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.
haaaa aiiise bado kumbe tuuu
 
zoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.
Aisee kumbe zoezi linaendelea
 
Hatuajiri tena,tumeghairi!




Haya kalimeni!
zoezi linaendelea leo mapeeeema imetumwa
IMG_20181213_115303_571.jpg
 
Oooh Glory Glory Glory to God.. Hata mimi kikombe kimenifika wakuu
Ahsante Mungu!
 
NMB Wametisha jamani Yani hata Interview sifai kufanya na BAF Yangu😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom