Nambie ukweli ndugu yangu
Natania C...well nilikuwa natoa opinion yangu, as sioni sabb nyingine wangetumia kuwakataa watu kati hawakuwa na qualifications zozote zaidi ya deadline.Nambie ukweli ndugu yangu
Unatach Cv tu.Mmh ilikuwepo bhana. Sehemu ya kuattach.
Unatach Cv tu.
Maana najua watu wenye upper ila wamepata emailNatania C...well nilikuwa natoa opinion yangu, as sioni sabb nyingine wangetumia kuwakataa watu kati hawakuwa na qualifications zozote zaidi ya deadline.
Oops...basi sijui mimi.Maana najua watu wenye upper ila wamepata email
ndio hata mimi siwaelewi wanatuma tuu emailIla NMB wana approach ya kuleta presha
Kwahiyo hadi leo waliofanikiwa hawajajulishwa?
zoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.kwahiyo sisi ambao hatujapata email lini wanatuita tukafanye katest kao hako kamaswali ya shule ya msingi?
haaaa aiiise bado kumbe tuuuzoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.
Aisee kumbe zoezi linaendeleazoezi la kutuma email halijaisha. huwa wanalifanya alhamis na ijumaa, tujiandae kesho na kesho kutwa kuna watu watapokea email... mtaopokea jamani msisite kutuambia hata mimi nikipokea nitawaambia.
zoezi linaendelea leo mapeeeema imetumwaHatuajiri tena,tumeghairi!
Haya kalimeni!
Nami nmeipata email leo saa tanizoezi linaendelea leo mapeeeema imetumwaView attachment 966772
Pole Groly...zoezi linaendelea leo mapeeeema imetumwaView attachment 966772

uliaply tarehe ngapi.?? mimi bado sijapata email naisubiri. jina langu nahisi bado halijapitiwa.😛😛Oooh Glory Glory Glory to God.. Hata mimi kikombe kimenifika wakuu
Ahsante Mungu!
31July Mkuuuliaply tarehe ngapi.?? mimi bado sijapata email naisubiri. jina langu nahisi bado halijapitiwa.😛😛
Afu ujue we utapata yaani nakuona paleee ofisi za NMB umevaa Yale mashati ya blue...kweli eti.uliaply tarehe ngapi.?? mimi bado sijapata email naisubiri. jina langu nahisi bado halijapitiwa.![]()
uliaply tarehe ngapi.?? mimi bado sijapata email naisubiri. jina langu nahisi bado halijapitiwa.![]()
Watu wamesha wekwa.. Kwann hamtaki kuamini ukweliNMB Wametisha jamani Yani hata Interview sifai kufanya na BAF Yangu😀😀😀😀😀😀😀