miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
- Thread starter
- #41
kwani wakati wa kuaply si uliweka email hiyo hiyo watakujibia,maana ulivyo aply walikutumia email ya confirmation so email yako wanayo
mkuu hatuelewi mpaka sasa kipi kinachoendelea mzee baba moja haikai mbili haikai kila muda unachungulia email kuona kama wamekutumia au laah............................................................................haya mambo yanachekesha pi. yani imekua vice versa kwaiyo ambao hawajatumiwa ndo wanapressure isifike yan daah
lkn mashirika ya kimataifa huwaga wanatumia sana huu mtindo wa kuwataarifu waombaji kama usipofanikiwa kuitwa hii kwetu kwa NMB ndo imekuwa mara ya kwanza kutokea kibongo bongo kwa maono yangu.kwani wakati wa kuaply si uliweka email hiyo hiyo watakujibia,maana ulivyo aply walikutumia email ya confirmation so email yako wanayo
kila la kheri Man.mkuu hatuelewi mpaka sasa kipi kinachoendelea mzee baba moja haikai mbili haikai kila muda unachungulia email kuona kama wamekutumia au laah............................................................................
mzee baba kila kheri kwa lipi hahahahahahahahahahakila la kheri Man.
si bado hujapata taarifa mbaya ! au uliifuta ??😀😀😀mzee baba kila kheri kwa lipi hahahahahahahahahaha
zoezi la kutuma email ni endelevu mzee baba wengine juzi wengine jana wamekutana nazo kwa hiyo zingine huenda ziko njiani mzeekila la kheri Man.
email haikunifikia mpaka muda huu lakini hutakiwi kujipa matumaini kwamba zoezi limeisha.......................huu ni kama mpira mzee baba waweza kupigwa goli dakika ya tisinisi bado hujapata taarifa mbaya ! au uliifuta ??😀😀😀
Yaani mkuu imebidi nicheke kama mazuriHakyamungu ninachoshukuru uzoefu wangu wa kushabikia Arsenal ndiyo unanifanya niwe na moyo mgumu la sivyo presha ingeshanimaliza. Sasa naona email kutoka NMB najua ndiyo swala limeeleweka kumbe mambo ni arijojo
tupo wengi mkuu... ikiingia tu notification naogopa hadi kushika simu nahisi isije ikawa email..... dah. bora hili zoezi liishe maana ambao hatujapata email tumeshikwa na homa ya tumbo ghafla bora hata waliopata email wamesha move on.🙆Naogopa kufungua app ya email..! So far sijaona notification yoyote kwa email![]()
Mkuu ni baadhi ya kanda au Kanda zooteNMB ni zaidi uijuavyo.
Undugulization mwanzo mwisho.
Wenzenu wanafanya oral interview Jumatatu wengine mnapewa mkono wa kwa heri.
CentralMkuu ni baadhi ya kanda au Kanda zoote
OkyCentral
Acha uongoNMB ni zaidi uijuavyo.
Undugulization mwanzo mwisho.
Wenzenu wanafanya oral interview Jumatatu wengine mnapewa mkono wa kwa heri.
Man!! You are so giftedok pole .....jaribu kuomba nafas zingine wametoa kwa highlands zone japokua ni direct sales staff na deadline kesho