NMB job several position wameanza kutuma email

NMB job several position wameanza kutuma email

Accounting and finance mkuu
Aiseeee yaan account and finance ukose sifa ya kuwa bank officer?? Hahahahahahah tena bila hata ya interview?? Hahahahahah tulipofikia ni kwamba undugu unasaidia sana na sio elimu..
Au huenda wanaangalia aina ya chuo lkn kwa hicho ulichosomea wamezingua walipaswa wakuite katika usaili.
 
Aiseeee yaan account and finance ukose sifa ya kuwa bank officer?? Hahahahahahah tena bila hata ya interview?? Hahahahahah tulipofikia ni kwamba undugu unasaidia sana na sio elimu..
Au huenda wanaangalia aina ya chuo lkn kwa hicho ulichosomea wamezingua walipaswa wakuite katika usaili.
More green pasture are on the way
 
Aiseeee yaan account and finance ukose sifa ya kuwa bank officer?? Hahahahahahah tena bila hata ya interview?? Hahahahahah tulipofikia ni kwamba undugu unasaidia sana na sio elimu..
Au huenda wanaangalia aina ya chuo lkn kwa hicho ulichosomea wamezingua walipaswa wakuite katika usaili.

Mi mwenyewe nimepata tumbo joto.naona Mwana BAF mwenzangu ameisha nyolewa namimi nitafata yan daah
 
Mi mwenyewe nimepata tumbo joto.naona Mwana BAF mwenzangu ameisha nyolewa namimi nitafata yan daah
same here mkuu.... hila hiyo naona ni kama bahati nasibu maana kuna dada mmoja kapiga education duce bado hawaja mjibu na aliomba nilisomanae advance.
 
same here mkuu.... hila hiyo naona ni kama bahati nasibu maana kuna dada mmoja kapiga education duce bado hawaja mjibu na aliomba nilisomanae advance.
Unajua wanachokifanya ni kuptia CV ya mmoja baada ya mwingne kwa utaratibu walivyopokea maombi kwa hyo kama ulituma behind deadline utafikiwa na kama umewagusa watakuacha kama sivyo watakufyekelea mbali na ndo utapewa hyo email
 
Unajua wanachokifanya ni kuptia CV ya mmoja baada ya mwingne kwa utaratibu walivyopokea maombi kwa hyo kama ulituma behind deadline utafikiwa na kama umewagusa watakuacha kama sivyo watakufyekelea mbali na ndo utapewa hyo email
inawezekana mkuu wanapitia tarehe hadi tarehe tulizo apply... wewe uliaply tarehe ngapi.?
 
Back
Top Bottom